ubongo

Ubongo is a board game developed by Polish-born Swedish game designer Grzegorz Rejchtman. It originally appeared as Pyramidens Portar by the Swedish publisher Kärnan and won the Swedish Årets spel prize in 2003. The game was later released in Germany in 2005 as Ubongo by the publisher Kosmos and got 4th place at the German board game competition and was among the finalists in the International Gamers Award.
The game is for 2 to 4 players of ages 8 and above, and takes about 20 to 30 minutes. Ubongo is an abstract puzzle game, based on a pentamino variant, reminiscent of a combination of Tangram and Tetris. The game includes a simplified version with fewer pieces, for children and beginners.
Ubongo is well suited for a game for the whole family, because its mechanics entertain both children and adults. Solving puzzles is entertaining by itself and provides excitement when combined with competition with other players.
The word "ubongo" means "brain" in Swahili, a language currently spoken in Eastern and Central Africa.

View More On Wikipedia.org
  1. The Watchman

    Pre GE2025 Serikali yatoa bilioni 10.8 kwa MOI kwa ajili ya ujenzi wa jengo jipya la kuhudumia wagonjwa wa nje (OPD)

    Serikali ya Awamu ya Sita imetoa jumla ya shilingi bilioni 10.8 kwa Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Ubongo, Mgongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) kwa ajili ya kugharamia ujenzi wa jengo jipya la kuhudumia wagonjwa wa nje (OPD). Mkurugenzi Mtendaji wa MOI, Mhe. Balozi, Dkt. Mpoki Ulisubisya ameyasema...
  2. Brojust

    Ubongo wa mwanadamu na majira ya mwezi: Dhana ya mwezi mchanga ni kweli ipo ? Je, kuna mahusiano gani kati ya majira ya mwezi na uchizi/utahira ?

    Huwa najaribu kutengeneza heading fikirishi ili tujaribu kudadisi ukweli. Nilisikia watu wanaongea kwamba kuna uhusiano kati ya majira mbali mbali ya mwezi na akili/ubongo wa binadamu. Wengine wanasema kuna supernatural power ambayo ukikaa sehemu tulivu kama mlimani au sehemu yoyote tulivu...
  3. Etugrul Bey

    Chakula Cha Ubongo

    Ni kawaida kuwa na hasira lakini usifanye mambo ukiwa na hasira. Unapoacha kuongea na watu, basi acha kuwaongelea pia, yani unakuta mtu ameamua asiongee na Etugrul Bey lkn cha kushangaza unakuta anamzungumzia huyo legend. Katu usiruhusu kuvunjiwa heshima yako au kushusha thamani yako ili watu...
  4. Magical power

    Mbegu mbili unaweza kuharisha mpaka ubongo 🙄😀

    Mbegu mbili unaweza kuharisha mpaka ubongo 🙄😀 Wauzaji muwe mnasema kuwa tukimeza tusiende kazini
  5. kali linux

    Kizuri ni kwamba ubongo haujui tofauti kati ya reality na illusion. Tumia hio hack kwa manufaa yako

    Hello bosses and roses. Leo nimekumbuka kitu, miaka ya zamani niliwah kuwa na maumivu ya mgogo yaani nikikaa tu nasikia mgongo unauma, hio hali ilikua inanipa shida sana hasa kipindi cha mitihani nikiwa shuleni, nashindwa kufocus kukimbizana na muda sababu ya maumivu ya mgongo, ila baadae...
  6. dosho12

    Jinsi kumbukumbu za uongo zinavyotengenezwa na ubongo

    Watu wanahisi kumbu kumbu ni kama video recorder inatunza matukio yote kwa usahihi na ufasaha ila ki ukweli si hivyo, kumbu kumbu mara nyingi ni kama suggestion kukisia kwa matukio uliyoyaona na kusikia, unavyo kumbuka kitu ubongo unafanya suggestion ya tukio lilivyokuwa. Kumbu kumbu za uongo...
  7. Brojust

    UBONGO WA MWANADAMU (Maswali matano ya kufikiria kuhusu uwepo wa Mungu)

    Salamu kwa nyote mnaosoma uzi huu. Baada ya kufikiria kwa kina basi haya ni maswali yangu matano kuhusu ubongo wa binadamu. Swali 1: Kama binadamu amegundua computer, na haya mambo yote tunayoyaona kuhusu teknolojia, Je ni kitu gani kitakuja kuvumbuliwa na binadamu ambacho kitashinda uwezo...
  8. S

    Mtu akikwambia njoo tugawane umaskini halafu ni swala la mchongo yaani wewe unatumbua nini kwenye ubongo wako?

    Ni swali la upimaji IQ Mtu akikwambia njoo tugawane umaskini halafu ni swala la mchongo yaan wewe unatumbua nini?kwenye ubongo wako
  9. Brojust

    Madactari, wanasaikolojia, wachungaji na watu waliosoma masomo ya theology na tabia za ubongo wa Binadamu.

    Salaam wakuu. Naenda moja kwa moja kwenye mada. Tunaomba ufafanuzi kidogo tu juu ya hali ya Hallucination na mambo ya Imani zetu zote, Je Hallucination ni tendo la kiimani au ni tendo la kitabibu. Ahsante: NB: Hii mada kama huelewi please wewe soma tu comment upate kujifunza kama mimi, Usije...
  10. M

    One stop business center ya Ubungo ikijengwa itaua Kariakoo na kubadilisha mfumo mzima wa biashara Kwa Tanzania na nchi jirani

    Ni kweli serikali wapo serous na hili au stori, ikiwa ni kweli Tanzania itakuwa nusu ya Dubai wachina wanajua sana biashara,tuombe serikali iwe serious
  11. matunduizi

    Hii taadhari itakusaidia: Ubongo wako hauwezi kutofautisha kama unaigiza unatania au uko siriasi

    Hii ni moja ya taarifa sahihi ambayo unapaswa kuitumia kwenye maisha.. Ukipenda kuigiza unakufakufa, au mchawi au kufanya drama za mizaha ubongo wako hauwezi kutofautisha na pale unapokuwa siriasi. Ndio maana Mungu anakemea mizaha. Zaburi 1:1 Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha...
  12. Cecil J

    Safisha ubongo, ingiza jambo hili la msingi

    ...
  13. third eye chakra

    Chakula cha ubongo: Duniani hakuna lolote liliwahi kuumbwa, yote unayoyaona ni uhalisia tulioutengeneza sisi

    UKWELI / UHALISIA..🧘🏿‍♂️🧘🏾‍♀️ 🎈Ukweli ni ukamilifu usiotegemea umbo Wala Hali Wala sababu katika kujizihilisha kwake..Ukweli ni kuwa hukuwahi kuzaliwa Wala hayo yote ulio nayo hayapo..ila uhalisia ni kuwa ulizaliwa na haya ulio nayo yapo 😀😀. ⚖️Uhalisia ndio unao leta maana katika Maisha...
  14. Komeo Lachuma

    Hivi nyie wenzangu kabla ya kugegedana mnapimana akili na utulivu wa Ubongo Kweli?

    Mmmmh.... Nimewaza. Unamwambia mpenzi wako akunyonye mashine sababu unapenda. Kumbe siku hiyo kaamka vibaya network inakuja inakata, inakuja inakata inasoma EDGE kidogo inapotea. We unachukulia poa. Unampa mashine. Anakumbuka jinsi ambavyo uliwahi mtenda au ulivyomnyanyasa au chuki yake kwa...
  15. father-xmas

    Nisaidieni kuzimua ubongo wa huyu mwanamke

    Salute wakuu Kuna dada ni rafiki yangu na amekua akinishirikisha mambo yake mengi ya ndani. Huyu dada aliachwa na jamaa yake ila kile kibuti cha jamaa kidogo kiondoke na roho ya dada, aliteseka, alikonda ila baada ya muda akakaa sawa, akanenepa, akapendeza na mwenyewe akawa anadai kwa sasa...
  16. proton pump

    Tetesi: Usijisikie kukata tamaa sasa karibu humu ndani tupeane moyo kwa kutuma picha na mziki unaojenga ubongo, pia kutoa maoni yanayojenga afya

    Hivi karibu kuna nyuzi nyingi za watu kukata tamaa na kutaka kujiua, kuacha au kuachika katika mahusiano ya me na ke, biashara kugoma, kukosa kazi ya kufanya, kuchukiwa na ndugu jamaa na marafiki n.k Ewe mwanadamu mwenzagu hukuzaliwa kwa bahati mbaya ndani ya ulimwengu huu. Huenda unapitia...
  17. Roving Journalist

    Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) yasema Wagonjwa 40 watabadilishwa nyonga

    Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) Prof. Abel Makubi amewapokea madaktari bingwa wabobezi wa upasuaji wa nyonga Watatu kutoka nchi ya Pakistan watakaoendesha kambi ya siku tano ya upasuaji wa nyonga kwa wagonjwa 40 kwa kushirikiana na madaktari bingwa wa...
  18. BARD AI

    Utafiti: Kutumia Simu wakati wa Kulala kunaharibu Moyo, Ubongo na Macho yako

    #AFYA: Kwa mujibu wa tafiti zilizofanywa na Taasisi za All India Institute Of Medical Science (AIIMS) na Cleveland Clinic, Watu wanaotumia Simu za Mkononi 'Smartphone' wakati wa Kulala, wako hatarini zaidi kuharibu Afya za Moyo, Ubongo na Macho. Utafiti huo umeonesha matumizi ya Simu muda ambao...
  19. Mganguzi

    Hussein Mohamed bashe na ubongo wa Oscar kambona mtu mtata! Mbishi anayejiamini kupita kiasi

    Huyu ndio Hussein bashe ,akilitaka lake lazima liwe! Na asipolitaka lako halitakuwa ,huyu ndio bashe! Anapenda kutunisha misuli hata mahali pasipohitaji misuli ,kiongozi asiyetaka kuhojiwa na yeyote isipokuwa rais na makamu wa rais . kwa maana hiyo hata waliompigia kura hawana ubavu wa kumhoji...
  20. Mjanja M1

    Kampuni ya Elon Musk yapandikiza kifaa kwenye ubongo wa binadamu

    Bilionea wa kiteknolojia Elon Musk amesema kwa mara ya kwanza kampuni yake ya Neuralink imefanikiwa kupandikiza kifaa maalum cha elektroniki kwenye Ubongo wa binadamu kisichotumia nyaya. Inatarajiwa kuwa kifaa hicho kuwa kiunganishi cha ubongo na kitawasaidia watu waliopooza viungo vyote...
Back
Top Bottom