Sio kweli Macho yako yanaona masikio yako yanasikia na ngozi yako inahisi pekee pasipo msaada wa Ubongo, bali ubongo unafanya kazi zote hizo.
"Unahitaji aina fulani ya uso wenye hisia, aina fulani ya kipokezi, ili kubeba habari kwenda kwenye ubongo", kama masikio, ngozi, pua, na macho.
Lakini...