ubora wa elimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Yoda

    Kulikoni Mkuu mpya wa Idara ya ubora wa elimu Uingereza kuzua mjadala?

    Kwa nini huyu mkuu mpya wa idara ya ubora na udhibiti wa elimu wa Uingereza, Sir Hamid Patel amezua mjadala mkubwa sana?
  2. P

    SoC04 Maendeleo ya kisiasa, kiuchumi, kijamii, kimazingira na kiafya yanategemea ubora wa elimu yetu

    Elimu ya Tanzania imekumbwa na changamoto nyingi kutokana na kutokuwa na mtaala unaoendana na maendeleo ya sayansi na teknolojia.pamoja na kwamba serikali inajitahidi sana kuboresha na kuanza kwa mtaala mpya ila Bado haukidhi matarajio ya miaka 5 Hadi 25 ijayo kutokana na sababu zifuatazo. Umri...
  3. Allen Kilewella

    Elimu inarudi ilikotokea... Ni hatari Sana Kwa Afrika

    Ukiangalia kwa makini siasa za Afrika zinavyoendeshwa Kwa Sasa, unaweza kuona pasina shaka kuwa mserereko wa kurudi nyuma miaka 200 iliyopita ni mkubwa sana. Kabla ya Mkutano wa Berlin ulioigawanya Afrika vipande vipande. Afrika yenyewe tayari ilikuwa imegawanyika kikabila na kiukoo. Maarifa...
Back
Top Bottom