Nikiwa nimetulia vyema siku ya Jana nikiangalia mpira nikiwa peke yangu.
Nimebaini timu ya Simba imesajili haswa,ni vitu vidogo tu ambavyo vimewafanya wakose ushindi.
1.Presha ya kucheza kwa kutaka kufuta uteja,hii imesababisha timu kukosa ile kujiamini Moja kwa moja.
2.beki ya Simba...