uboreshaji miundombinu majimboni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Pre GE2025 Kimei aendelea kuweka rekodi Vunjo, afanikisha kuanza kwa ujenzi wa daraja kata ya Makuyuni

    Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mhe Dkt Charles Stephen Kimei ameendelea kuweka rekodi katika Jimbo la Vunjo ya kufanikisha kuanza kwa ujenzi wa daraja linalounganisha vitongoji vya Msufini na Kisimani kata ya Makuyuni hali itakayowarahisisha mawasiliano ya wananchi toka upande mmoja kwenda mwingine...
  2. M

    Kimei aweka rekodi nyingine kwa kufanikisha mradi wa ukamilishaji daraja la Sembeti - Samanga

    Kutoka, Sembeti, Marangu. Kazi ya Ukamilishaji wa ujenzi wa daraja linalounganisha vijiji vya Samanga na Sembeti uliosimama kwa takribani miaka 20 inaendelea baada ya kupata fedha toka mfuko wa maendeleo ya jamii (TASAF) kiasi cha shilingi milioni 103.5 Kuendelea na kukamilika kwa Mradi huu ni...
  3. Viongozi boresheni miundombinu Majimboni kwenu. Msingoje mpaka Ziara ya Rais ndio mshtuke!

    Habari, Kumekuwa na tabia ya viongozi wengi wa kisiasa katika ngazi za mikoa (majimbo) mbalimbali kufanya marekebisho ya miundombinu ya jimbo lao wanaposikia Rais atapita maeneo yao. Viongozi hawa wamekuwa wakimwaga na kusawazisha vifusi barabarani, kufanya ukarabati wa kuzuga ili kumuaminisha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…