uboreshaji wa viwanja

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pamoja na kukua kwa mchezo wa mpira wa miguu nchini, kwanini maendeleo haya hayaendi sambamba na uboreshwaji wa viwanja?

    Soka la Tanzania kwa sasa limekuwa sana na ushindani ni mkubwa mnoo ila nashangaa kwanini serekali haioni umuhimu mkubwa wa kuboresha hata vile viwanja ambavyo tunavyo tayari viendane na hadhi ya kiwango cha soka letu kwa sasa. Ukienda arusha ukaona huo uwanja wao wa mpira kwa jiji kama lile ni...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…