ubovu barabara hombolo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Barabara ya Hombolo Dodoma ni mbaya sana, kila siku tunapigwa danadana kuwa itawekewa lami

    Jamii Forums habari, Tunaomba mtusaidie wakazi wa Dodoma, barabara ya Hombolo ni mbaya sana, Kila siku tumekuwa tukipigwa danadana kuwa inawekewa lami lakini hakuna kinachoendelea kwamba kuna chuo cha Serikali za mitaa, hospitali na bwawa lakini barabara iko ovyo sana.
Back
Top Bottom