ubunge arusha mjini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mwanamwana

    Pre GE2025 Gambo Vs Makonda: Gambo asema anayetaka Ubunge Arusha aje uwanjani aone kama ngoma ya kitoto inakesha

    Gambo amesema kuwa yeye ndiye Mbunge halali kwa muda huu na yeyote anayehitaji nafasi hiyo anapaswa kusubiri muda ufike kisha kufata taratibu zote za kuwania nafasi hiyo na sio vinginevyo. “Kama kuna mtu anataka ubunge, asubiri utaratibu ufike, ajitokeze uwanjani. Wananchi wa Arusha Mjini...
  2. ChoiceVariable

    Pre GE2025 Vita ya Ubunge Arusha mjini; Makonda amzuia Mkuu wa Wilaya kushiriki mikutano ya Mbunge Gambo

    Sijawahi ona RC ambae muda wote anabishana na kuwa kwenye migogoro na Wawakilishi wa Wananchi badala ya kutatua Kero za watu.Pia soma Pre GE2025 - Ulega katika kikao kizito na Makonda na Mrisho Gambo, akituliza hali baada ya kurushiana maneno Ikiwezekana Rais amuondoe huyo RC huko Arusha Kwa...
  3. mwanamwana

    Pre GE2025 Mrisho Gambo: Godbless Lema aliniambia mzigo anaoupiga Rais Samia umenifanya hata hamu ya kugombea iniishe

    "Nilikutana siku moja na mjomba wangu, Lema, akaniambia: 'Bwana, ni hivi tu, mimi ni mpinzani, siwezi kusema hadharani, lakini nataka niwaambie—mzigo anaoupiga Dkt. Samia umenifanya hata hamu ya kugombea iniishe.'" "Sasa, kama mtu kama Lema ameanza kuwa na hekima, basi ujue tuko karibu kuiona...
Back
Top Bottom