ubunge kigamboni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 TAKUKURU Temeke yamkamata Habibu Mchange ambae ni mtia nia Ubunge jimbo la Kigamboni kwa Tuhuma za Rushwa

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Temeke, imemkamata na kumhoji Mwananchi aitwaye Habibu Mchange, ambaye ni mwanachama wa chama cha mapinduzi CCM, kwa tuhuma za rushwa ambapo wameeleza ni miongoni mwa watia nia ya kugombea nafasi ya ubunge jimbo la Kigamboni. Kupata matukio na...
  2. M

    Pre GE2025 Makonda: Nimenogewa na Ukuu wa Mkoa Arusha, sijui kama nitagombea ubunge Kigamboni

    “Kaka yangu Jafo [Waziri Selemani Jafo] unafahamu 2020 niligombea kule Kigamboni, sina uhakika sana kama nitaenda kwenye jimbo Kigamboni, ni kama vile nimenogewa na hii kazi aliyonipa Dkt. Samia hapa Arusha." Pia soma Pre GE2025 - Makonda ajaribu tena bahati yake Kigamboni Pre GE2025 -...
Back
Top Bottom