Ubungo (Kata ya Ubungo, in Swahili) is an administrative ward in Ubungo District of the Dar es Salaam Region in Tanzania. Makongo and Sinza form the northern and eastern boundaries of the ward. Wards of Mabibo, Makuburi, and Kimara are to the south and west. The ward is home to the University of Dar es Salaam and Ubungo Thermal Power Station. According to the 2012 census, the ward has a total population of 56,015.
Hapa Ubungo, Kisiwani, Wananchi tupo katika hali ngumu sana, maisha yamebadilika kisa Mto Gide, ambao kwa miaka mingi umekuwa ni chanzo cha wasiwasi mkubwa na umekuwa tishio kwa makazi yetu. Nyumba nyingi zimebomoka na kila mvua inaponyesha, hali inazidi kuwa mbaya.
Hadi sasa zaidi ya Wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.