Wakuu kwenye hii barabara ya kwenda Ubungo Makoka kupitia kwa Mzee wa Upako, kuna kipande kama mita 300 kinaongezwa kwa kiwango cha lami inaenda miezi minne mpaka sasa hakijamalizika.
Jamaa wakijisikia wanafunga barabara hamna gari kupita, njia mbadala ni milimani na ndogo magari hayapishani...
Mtaani kwetu Ubungo, Makoka, DSM
Maeneo ya Kilimahewa kuna jirani amejenga nyumba ya kupangisha ambayo wanaishi wapangaji tu yeye anaishi mbali na hapo.
Sasa tatizo linaanza, choo cha hiyo nyumba kinavuja shimo la majitaka limeharibika hivyo majitaka yenye athari kwa mazingira na wakazi wa...
Anonymous
Thread
serikali ya mtaa ubungomakoka
shimo la majitaka
ubungomakoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.