ubungo makoka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    KERO Barabara ya Ubungo makoka kutokea Riverside kupitia kwa Mzee wa Upako inaenda miezi minne mpaka sasa hakijamalizika

    Wakuu kwenye hii barabara ya kwenda Ubungo Makoka kupitia kwa Mzee wa Upako, kuna kipande kama mita 300 kinaongezwa kwa kiwango cha lami inaenda miezi minne mpaka sasa hakijamalizika. Jamaa wakijisikia wanafunga barabara hamna gari kupita, njia mbadala ni milimani na ndogo magari hayapishani...
  2. A

    KERO Ubungo, Makoka kuna nyumba shimo la majitaka linahatarisha afya za majirani, Serikali ya Mtaa haimchukulii hatua

    Mtaani kwetu Ubungo, Makoka, DSM Maeneo ya Kilimahewa kuna jirani amejenga nyumba ya kupangisha ambayo wanaishi wapangaji tu yeye anaishi mbali na hapo. Sasa tatizo linaanza, choo cha hiyo nyumba kinavuja shimo la majitaka limeharibika hivyo majitaka yenye athari kwa mazingira na wakazi wa...
Back
Top Bottom