Dar es salaam, leo 26 July kuna kijana anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 16 hadi 17 (jina linahifadhiwa) maeneo ya Ubungo Msewe amepatikana nje ya nyumba akiwa amejilaza huku akivuja damu nyingi sana maeneo yake ya siri yaani sehemu ya haja kubwa chanzo kikidaiwa ni kulawitiwa na...