uchafu mbeya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwanongwa

    KERO Mbeya: Baadhi ya Mitaa ya Jiji la Mbeya ni michafu, tunakaribisha Milipuko ya Magonjwa

    Leo katika pitapita zangu kwenye mitaa mbalimbali ya Jiji la Mbeya nimejionea namna ambavyo Jiji hili lilivyo chafu. Viroba vya takataka vimerundikwa kila mahali katika mitaa ya Jiji hili. Wenye mamlaka ya kukusanya taka nao ni kama hawaoni namna ambavyo Jiji limetapakaa uchafu. Pichani ni...
Back
Top Bottom