uchafu mbeya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. KERO Mbeya: Baadhi ya Mitaa ya Jiji la Mbeya ni michafu, tunakaribisha Milipuko ya Magonjwa

    Leo katika pitapita zangu kwenye mitaa mbalimbali ya Jiji la Mbeya nimejionea namna ambavyo Jiji hili lilivyo chafu. Viroba vya takataka vimerundikwa kila mahali katika mitaa ya Jiji hili. Wenye mamlaka ya kukusanya taka nao ni kama hawaoni namna ambavyo Jiji limetapakaa uchafu. Pichani ni...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…