uchafu tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mzee wa Code

    KERO Baadhi ya maeneo Dodoma ni machafu sana, kuna vichaka na maji taka katika ya Jiji, Mamlaka chukueni hatua

    Dodoma ni moja ya Jiji chafu nchini, uchafu umezagaa hasa maeneo ya Mjini ambapo kuna Mkuu Wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa, then kuna hali hii ya Uchafuzi wa Mazingira tena ni urefu wa kilometa mbili kufika makazi ya Waziri Mkuu, nyuma ya Viwanja vya Chinangali Park sehemu ambayo Rais ameshashiriki...
  2. ndege JOHN

    DOKEZO Kuna mlipuko wa Kipindupindu Pwani ya Kusini, kwanini serikali haisemi lolote?

    Ni takriban wiki sasa yale madimbwi yaliyotokana na mafuriko ya mvua za mwaka huu yamesababisha mlipuko wa kipindupindu. Sasa mbona kama inafanywa siri? Lengo ni kutozua taharuki au nini? Watu hawachukui tahadhari wanaendelea kusafiri. Ni hatari sana.
Back
Top Bottom