uchafuzi wa kelele

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Kelele usiku kucha Mtaa wa Alesika, Mbezi Beach kutoka Amigos Pub na Kanisa la Angels Ministry ni kero kubwa, tumechoka!

    Sisi wakazi wa Mbezi Beach kwa Komba mtaa wa Alesika Road jirani na Ofisi za Airtel tunateseka kwa kulazimika kukesha pamoja na waumini wa kanisa la Angels Ministry ambao wapo kushoto kwetu na Amigos Pub ambayo ipo kulia kwetu. Wanakesha kwa makelele usiku kucha na kuondoka saa 11 asubuhi. Kwa...
  2. A

    KERO Kero ya kelele uwepo wa Baa karibu na Kituo cha Afya Mrijo Chini wilaya ya Chemba

    Kumekuwa na kero ya kukosa utulivu nyakati za usiku baada ya uwepo wa sehemu hii ya biashara kwani sehemu hii ipo karibu na hospital na makazi ya watu na kusababisha watu kushindwa kulala wakiwemo watoto, pia wagonjwa hawapati utulivu na hakuna anayesema lolote kuhusu hili. Nahisi ni kuogopa...
Back
Top Bottom