uchaguzi bavicha 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. comte

    Aliyekuwa mgombea nafasi ya Uenyekiti BAVICHA: Lissu na Heche walitia doa kampeni za Uchaguzi wa BAVICHA

    Mgombea Uenyekiti BAVICHA Masoud Mambo akifunguka A to Z kilichotokea kwenye Uchaguzi BAVICHA baada ya wakubwa kuingilia kati. Source: East Africa Radio My take: Usafi wa Heche na Lissu uko mdomoni tu- ni wachafu kuliko uchafu wenyewe
  2. comte

    Mdude Nyagali: Kinachoendelea kwenye uchaguzi wa BAVICHA ni rushwa, hongera sana vijana kwa kuidhibiti

    Amenadika Mdude Nyagali kwenye Mtandao wa X. Kwa wale wageni ambao hawajui mambo ya uchaguzi ndani ya vyama n.k. 1. Posho za wajumbe hutolewa mapema tu wanapowasili na wahasibu walioteuliwa pamoja na viongozi hadharani kwa kuhakiki majina kisha kusaini. 2. Posho huwa haitolewi uchochoroni...
  3. Waufukweni

    Vurugu mkutano wa BAVICHA, Waandishi wafukuzwa tena katika ukumbi wa Uchaguzi

    Kutoka Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam (leo, Jumanne ya Januari 14.2024) vurugu zimeshuhudiwa tena kati ya wanahabari na baadhi ya vijana wa BAVICHA ambao wamepinga wanahabari kuwepo kwenye ukumbi wa uchaguzi, wanahabari waliingia ukumbini hapo baada ya kuruhusiwa na msimamizi wa uchaguzi huo...
  4. Mindyou

    Kimewaka tena CHADEMA asubuhi hii! Kampeni meneja wa Mbowe na Mgombea Uenyekiti BAVICHA Shija Shibeshi wawashiana moto

    Asubuhi ya leo Januari 14, 2025 pameamka na sintofahamu baina ya Daniel Naftali ambaye ni Meneja wa Kampeni(Campaign Manager) wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe akizozana na aliyekuwa Mgombea wa Uenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Taifa Shija Shibeshi Inaelezwa kuwa...
  5. T

    Pre GE2025 Pambalu: Ukiwa na laki tatu tukawakamata wajumbe watakuchagua kuwa mwenyekiti wa BAVICHA

  6. Mkalukungone mwamba

    BAVICHA watoa ufafanuzi mazingira ya rushwa kwenye uchaguzi wao

    Taarifa ya BAVICHA iliyo chapiswa kupitia mtandao wa X imeeleza kama ifuatavyo Si kweli kuwa kuna mazingira ya rushwa (kwenye uchaguzi wa BAVICHA Taifa , Idrissa Kassim alikabidhiwa fedha za nauli kwa wajumbe wa BAVICHA kutoka Kanda ya Magharibi, wakati akiwalipa ndio ilitafsiriwa kuwa anatoa...
  7. Mkalukungone mwamba

    Waandishi wa Habari waondolewa katika ukumbi wa Uchaguzi wa Baraza la Vijana CHADEMA

    Katika hali isiyotarajiwa waandishi wa habari na wadau wengine wanaotajwa kutohusika moja kwa moja na uchaguzi, wameondoshwa kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) Taifa kutokana na kile kilichoelezwa kuwa kwa sasa wanaostahili kubali ni...
  8. T

    Pre GE2025 Mjumbe wa mkutano mkuu BAVICHA alilia posho ya kujikimu, 'tuliambiwa tutalipwa ila hadi sasa bado, kwa hali hii tunaweza kuepuka rushwa?'

    Wakuu wakati mkutano mkuu wa Bavicha ukiendelea leo, mjumbe mmoja aeleza kwa masikitiko kuwa hawajalipwa pesa za kujikimu walizohaidiwa. "Tuliambiwa jana tutapewa pesa ya kujikimu mpaka leo hatujapewa, mnawezaje mkaipinga rushwa ilhali mnaitengeneza?" - Mjumbe wa mkutano mkuu Bavicha Kupata...
Back
Top Bottom