uchaguzi marekani 2024

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. U

    Donald trump na mkewe wahudhuria hafla maalumu baada ya kuapishwa

    Wadau hamjamboni nyote? Wenyewe wanaita the Commander-In-Chief inaugural ball
  2. K

    Tumejipangaje kuishi katika Utawala wa Trump?

    Hapo Jana, Trump ameapishwa kama raisi wa 47 wa U.S, moja ya hatua alizochukua ni kuitaka U. S kujiondoa haraka Sana WHO. Hakuna asiejua kuwa America inamchango mkubwa Sana kwenye budget ya shirika hili, na wote tunakubaliana kuwa who ina umuhimu Sana katika Ku pambana na Changamoto za Afya...
  3. Lycaon pictus

    Fun Fact: Kamala Harris ndiye atayepokea matokeo ya uchaguzi kutoka kwa electors na kuyawasilisha bungeni yakathibitishwe

    Electors kutoka majimbo yote hupeleka matokeo yao kwa Rais wa bunge la Senate. Na Rais huyu ni Makamu wa Rais wa Marekani. Kama mnakumbuka January 6, 2021. Waandamaji walikuwa wanapiga kelele anyongwe Mike Pence! Huyu alikuwa Makamu wa Rais wa Rais Donald Trump na alikataa kufanya figisu...
  4. Mindyou

    Kamala Harris ana lengo gani? Atangaza kuhalalisha matumizi ya bangi Marekani nzima akichaguliwa kuwa Rais!

    Wakuu, Pengine kuna kitu ntakuwa sielewi kuhusu Marekani lakini inaonekana suala la bangi kuwa halali ni suala nyeti sana huko Marekani na hii ni baada ya Harris kusema kuwa atahalalisha matumizi ya bangi nchi nzima pindi akiwa Rais. Hivi how is this a campaign issue? Na kwanini utake...
  5. Mindyou

    Hii clip ya Kamala Harris akiumbuliwa na UNIVISION imenifikirisha sana. Mtu kama huyu anawezaje kuwa World Leader?

    Wakuu, Kuna hii clip ya Kamala Harris inatembea sana huko kwenye mtandao wa X na Republicans wanaishare kwenye akaunti zao. Jana Harris alikuwa anafanya Town Hall. Town Hall ni kipindi cha maswali na majibu ambapo wananchi wanapata nafasi ya kumuuliza maswali mgombea au kiongozi wao maswali...
  6. Mindyou

    Trump: Nisiposhinda uchaguzi, vita ya Ukraine itakuwa ni vita ya 3 ya dunia!

    Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump amekutana na Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy katika jengo la Trump Tower huko New York mapema Ijumaa wiki hii na amemuahidi kumaliza haraka vita kati ya Urusi na Ukraine ikiwa atashinda kiti cha Urais wa Marekani. “Tuna uhusiano mzuri sana na pia...
  7. Mindyou

    Maafisa usalama zaidi ya 700 wamuunga mkono Kamala Harris dhidi ya Trump kwenye Uchaguzi mkuu Marekani 2024

    Mbio za kampeni za uchaguzi nchini Marekani zimeendelea kuwa sukari na hii ni baada ya maafisa takriban 700 wa usalama wa kitaifa na wanajeshi nchini humo kumuidhinisha na kumuunga mkono Kamala Harris kwenye mbio zake za Urais dhidi ya Donald Trump. Kupitia barua yao ya pamoja, maafisa hao wa...
  8. Mindyou

    Shambulio la risasi laitikisa Ofisi ya Kampeni ya Kamala Harris huko Arizona. Polisi watoa tamko!

    Ofisi ya kampeni ya mgombea urais wa Marekani, Kamala Harris, huko kwenye mji wa Phoenix ilishambuliwa kwa risasi na kusababisha uharibifu kwa majengo na madirisha huku hakuna majeruhi walioripotiwa. Tukio hilo lilitokea usiku wa manane, siku chache kabla ya ziara ya Harris jimboni humo, na...
  9. Mindyou

    Kwa upepo unavyoenda, kuna dalili zote Donald Trump kuswekwa jela kama hatoshinda uchaguzi

    Habari zenu wanabodi, Kwa namna siasa za marekani zinaendelea ni dhahiri shahiri kuwa Trump ana mengi sana ya kupoteza iwapo atashindwa kuingia pale White House mwaka kesho. Siku ya Ijumaa, Jaji kutoka jimbo la New York alitangaza kuahirisha kutoa hukumu kwa Donald Trump. Jaji Merchant...
  10. ward41

    Rais wa Marekani anapatikana kwa kura za wananchi, sio deep state

    Kuna uzushi mwingi wa vijiweni kwamba raisi wa MAREKANI anapatikana na deep state na kwamba kuna kikundi kidogo cha watu sirini wanamteua raisi. Hii sio kweli. Raisi wa MAREKANI anapatikana kwa kura za Wananchi. Ndiyo maana wagombea wanafanya campaign ili wapigiwe kura Utofauti na huku kwetu ni...
  11. Mindyou

    Donald Trump: We hata kama hunipendi, nipigie tu kura

    Uwanja wa siasa nchini Marekani umezidi kuchangamka na hii ni baada ya mgombea wa chama cha Republican, Donald Trump, hivi karibuni kusema kuwa hata kama humpendi yeye kama yeye ni muhimu sana kumpigia kura. Trump aliyasema hayo kwenye jimbo la Pennsylvania huko nchini Marekani akiwa kwenye...
  12. mwanamwana

    Trump: Harris Kamala ameamua "kugeuka mtu mweusi" kwa manufaa ya kisiasa

    Mgombea Urais wa Marekani Donald Trump amesema siku ya Jumatano kwamba Makamu wa Rais Kamala Harris ameamua "kugeuka mtu mweusi" kwa manufaa ya kisiasa katika kile kilichoonekana kama kumshambulia mpinzani wake huyo kutoka Chama cha Democratic Wakati akizungumza na waandishi wa habari wa...
  13. ChoiceVariable

    Kuna uwezekano Pete Buttigueg akawa Mgombea Mwenza wa Harris Kamala

    Kwenye kundi la Wagombea 5 wanaopewa nafasi ya mmjawao kuwa mgombea Mwanza wa Bi. Harris Kamala kwenye uchaguzi ujao yupo Bwana Pete ambae ni Waziri wa Uchukuzi. Bwana huyo anaelezwa kuwa ni mahiri na stadi wa kujieleza ambae anaweza msaidia Harris kumshinda Trump. -- Kamala Harris ataanza...
  14. D

    Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

    Live Updates ya majibu ya kura kati ya Trump na Kamala Rasmi Fox News yatangaza kuwa Donald Trump ameshinda Urais wa Marekani dhidi ya Kamala Harris Kulingana na kituo cha habari NBC, Donald Trump ameshinda jimbo la Pennyslavania, jimbo ambalo kwenye chaguzi nyingi huamua nani atakuwa Rais...
Back
Top Bottom