Jimbo la Moshi Mjini imeongozwa na upinzani tangu kuanza kwa vyama vingi. Kutokana na itikadi hiyo rais wa awamu iliyopita Magufuli 2020 akaenda na kusema Moshi iko vilevile sababu ya kuongozwa na upinzani. (Niliamini kwa wakati huo) "chagueni ccm muone maendeleo" Haya Priscus Tarimo toka ccm...