Wakuu,
Si ndio huko mpaka saivi mgombea kashashikwa na kura zilizopigwa, mnaambiwa muamini mawakala, watafanya kazi nzuri kama malaika!:KEKWlaugh::KEKWlaugh:
Asema usipoelewa utaelimishwa, na ukielimishwa lakini bado hujaelewa utachukuliwa ukaelimishwe zaidi mbere kwa mbere :BearLaugh...