uchaguzi tunisia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    Tume ya Uchaguzi Tunisia kupuuza uamuzi wa Mahakama wa kuwarejesha Wagombea watatu wa Urais

    Tume ya uchaguzi ya Tunisia imeidhinisha wagombea watatu pekee kugombea katika uchaguzi wa urais mwezi Oktoba 6, 2024, ikipuuza uamuzi wa mahakama wa kuwarejesha wagombea wengine watatu. Wagombea hao ni Mbunge wa zamani Zouhair Maghzaoui, Mfanyabiashara Ayachi Zammel na Rais wa sasa Kais Saied...
Back
Top Bottom