uchaguzi uingereza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kingsmann

    Keir Starmer kuwa Waziri Mkuu mpya wa Uingereza huku Rishi Sunak akikubali kushindwa

    Sir Keir Starmer atakuwa waziri mkuu ajaye wa Uingereza baada ya Rishi Sunak kukubali kushindwa katika kukabiliana na chama cha Labour. Waziri Mkuu Sunak alisema wapiga kura wametoa "uamuzi wa kutisha" juu ya chama chake baada ya miaka 14 madarakani. Kiongozi wa chama cha Labour Sir Keir...
  2. P

    UK General Election: Waingereza leo kupiga kura kumchagua Waziri Mkuu na Wabunge

    Wananchi wa Uingereza leo wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa kuchagua Waziri Mkuu na Wabunge. Wagombea wanaopewa nafasi kubwa ya kushinda ni Waziri Mkuu wa sasa Rishi Sunak kutoka Chama cha Conservative na Keir Starmer kutoka Chama cha Labour. Vyombo vya habari vingi vimetabiri kuwa Chama...
Back
Top Bottom