Sir Keir Starmer atakuwa waziri mkuu ajaye wa Uingereza baada ya Rishi Sunak kukubali kushindwa katika kukabiliana na chama cha Labour.
Waziri Mkuu Sunak alisema wapiga kura wametoa "uamuzi wa kutisha" juu ya chama chake baada ya miaka 14 madarakani.
Kiongozi wa chama cha Labour Sir Keir...
Wananchi wa Uingereza leo wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa kuchagua Waziri Mkuu na Wabunge.
Wagombea wanaopewa nafasi kubwa ya kushinda ni Waziri Mkuu wa sasa Rishi Sunak kutoka Chama cha Conservative na Keir Starmer kutoka Chama cha Labour.
Vyombo vya habari vingi vimetabiri kuwa Chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.