Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika anazungumza na Waandishi wa habari muda huu, Makao Makuu ya Chama hicho, Mikocheni Dar es salaam.
Fuatilia live mazungumzo yake hapa
https://www.youtube.com/live/toK4jk5NCAo?si=heoTafP2I9zGwBWT
CHADEMA yatoa tamko la Uchaguzi wa Kitaifa kwa mwaka 2024...