Habari Ndugu wana jamii forum
Mimi ni kijana niliye hitimu kidato cha sita mwaka 2024 combination ya HGL nikiwa na ufaulu wa div 1.4
ninaomba ushauri juu ya uchaguzi wa kozi kati ya
1. Political science and public administration
2.law
3. Law enforcement
4. Social work
Zinahusu nini kiundani...