uchaguzi wa marekani 2024

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Kamala Harris ampigia simu Rais Trump kumpongeza na kukubali matokeo ya uchaguzi

    Makamu wa Rais wa Marekani ambaye alikuwa Mgombea Urais wa Marekani 2024 aliyeshindwa dhidi ya Rais Mteule Donald Trump, amempigia simu Trump na kumpongeza kwa ushindi kitendo kinachoashiria amekubaliana na matokeo hayo ya uchaguzi. Pia, Soma: • Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024...
  2. L

    Rais Samia ampongeza Donald Trump. Aahidi kushirikiana naye

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Amemmiminia na kupongeza Rais mteule wa Marekani Mheshimiwa Donald Trump. ambaye ni Rais aliyeweka rekodi ya kipekee ya kurejea kwenye kiti cha Urais kwa awamu ya pili katika miaka...
  3. Mindyou

    Ushindi wa Donald Trump una maana gani kwenye biashara za Elon Musk? Tutegemee Elon kupata kitengo kwenye serikali ya Trump?

    Wakuu, Kama unafuatilia uchaguzi unaoendelea nchini Marekani basi bila shaka utakuwa umemuona Bilionea Elon akiwa bega kwa bega na Donald ambaye amechaguliwa kuwa Rais wa 47 wa Marekani. Ikumbukwe kuwa Elon wakati wa uchaguzi ametumia akaunti yake ya X pamoja na ushawishi wake wa kifedha...
  4. Analogia Malenga

    Mfano wa ballot paper ya Marekani Je, kuna chochote cha kujifunza

    Marekani inatarajia kufanya uchaguzi wa Rais, Tar 5 Novemba. Kukiwa na wagombea sita wa kiti hicho ambapo wagombea nane, ambapo wagombea wawili kati ya hao ni wasio na vyama vya siasa. Mbali na wagombea wa urais kuwa nane, wagombea wanaofahamika na watu wengi ni wawili ambao ni Donald Trump na...
  5. jingalao

    Je, unadhani Vyombo vya Habari Tanzania vimeshanunuliwa kumpigia chapuo Kamala Harris?

    Kwa uzoefu wangu mdogo vyombo vya habari havitoi habari zao hivi hivi tu bali hupookea fedha ili kuirusha habari flani. Katika muda wa saa 48 zilizopita uchambuzi wangu unaonesha kuwa kuna ishara kuwa baadhi ya vyombo vya habari vikubwa hapa nchini vimeanza kutuweka tayari kwa muelekeo wa...
  6. Zanzibar-ASP

    Wanawake, waarabu, waislamu na wahamiaji wanaelekea kumpa Kamala Harris urais wa USA!

    Amini au usiamini, kuna kila dalili kuwa huenda makundi ya wanawake, waarabu, waislamu na wahamiaji wanaelekea kumpa Kamala Harris urais wa USA kirahisi kabisa. H Haya ndio maoni ya wachambuzi wengi wa siasa za USA katika muda wa mwisho kabisa kuelekea kupigwa kwa kura za mwisho siku ya kesho...
  7. Stroke

    Je, Ziara ya Rais Samia nchini Marekani inaweza kuinfluence uchaguzi utaofanyika novemba 5?

    Marekani ipo katika kipindi cha uchaguzi ambapo tarehe 5 watapiga kura kuchagua Rais wao. Iwapo atashinda kamala Harris atakuwa mwanamke wa kwanza baada ya miaka 200 ya uhuru wa nchi huyo kuwa Rais. Rais Samia yupo marekani kama mzungumzaji katika mjadala wa kimataifa wa chaķula huko Iowa...
  8. TODAYS

    Mnaofuatilia katuni ya Simpsons, kumbe Trump kapigwa knockout kitambo!

    Kipindi ninekuwa najaribu kufuatilia hiki kikatuni cha Simpsons huwa kinalenga mambo gani. Juzi kati hapo nikakutana na scene mpeperusha bendera wa Biden akiwa white house akitoa hotuba na kujibu maswali mbalimbali. Kama unafuatilia hako kakatuni kwenye the Simpsons "Bart to the Future"...
  9. G

    Nimefurahishwa na takwimu za Betting kuhusu Donald Trump, angalau akemee vitendo vya ajabu ajabu

    Ni mwanaume Ni mwanaume mwenye msimamo Najua ipo siku femest inaweza kutawala Ila itupe muda kidogo kwakeli , Maana femist ndo wachochezi wakubwa wa ndoa za jinsia moja wanaamini mwanamke anaweza kujitosheleza wenyewe Anaiunga mkono Israel waziwazi Hadi kuhamisha balozi za us Jerusalem mji wa...
  10. W

    Uchaguzi wa Marekani 2024: Je, Trump na Harris wana sera gani?

    Zikiwa zimebaki wiki chache kabla ya uchaguzi mkuu wa Marekani mwezi Novemba, ni wakati wa kuzielewa sera kati ya Makamu wa Rais wa chama cha Democratic, Kamala Harris na Donald Trump wa Republican. Sera za Harris Kamala vs Trump 1. Mfumuko wa Bei Harris anasema kipaumbele chake kitakuwa ni...
  11. U

    Donald Trump ahofia njama za Iran kumuua, aomba ulinzi wa ndege na magari ya kijeshi wiki za mwisho kampeni uchaguzi Mkuu Marekani

    Wadau hamjamboni nyote? Rais Biden asema ameshatoa kibali trump apewe ulinzi sawa na Rais aliyeko madarakani Soma Pia: Marekani yasema Iran ndo ilitaka kumuua Trump Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: October 11...
  12. Suley2019

    Obama kumpigia kampeni Kamala Harris

    Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama, anajiandaa kufanya kampeni kwa ajili ya Makamu wa Rais Kamala Harris katika juhudi za mwisho kuelekea uchaguzi. Obama, ambaye ni Kiongozi mashuhuri wa Chama cha Democratic, ataanza kampeni zake kwa Harris Alhamisi ijayo huko Pittsburgh, huku akipanga...
  13. Boeing787-8

    Jade Vance amemzidi mbali boss wake Trump

    Jana kulikuwa na debate kati ya Jade Vance wa chama Cha republican na Tim Walz kutoka democrats. Niliangalia hiyo debate, yaani Trump alipomchagua Vance, watu waliona Kama amechagua chaguo lisilo sahihi, hata Republican wenzake walikuwa hawamkubali Vance. Debate ya Jana imebadilisha Kila...
  14. L

    Watanzania mnajifunza nini kwa Taifa letu juu ya andiko hili la Kamala Harris Mgombea Urais wa Marekani kupitia Democrat?

    Ndugu zangu Watanzania, Kila siku huwa ninawaambia na kuwaelekeza mambo mengi sana juu ya changamoto katika uongozi.huwa ninawaambia kuwa changamoto huwa hazikosekani. lakini kikubwa kinachopaswa kuangaliwa ni dhamira ,nia na hatua zinazochukuliwa katika kutatua na kumaliza changamoto na kero...
  15. J

    Rais Biden awaaga Marais wenzake kwenye Mkutano wa 79 wa UNGA

    Rais Biden wa Marekani ametumia Mkutano wa 79 wa UNGA jijini New York kuwaaga Marais wenzake Marekani inafanya Uchanguzi mwaka huu na Joe Biden hatagombea Soma Pia: Biden anasema aliondoka kwenye kinyang'anyiro cha urais wa Marekani ili 'kuokoa Demokrasia' Al Jazeera news
  16. comte

    Wakili abanwa kwa kusema polisi wanaua waamerika weusi kila siku

  17. ChoiceVariable

    Michigan: Donald Trump ameshikwa na Kiwewe Kufuata Mafuriko ya Watu Waliofika Kumlaki Harris, Adai ni picha za AI

    Aisee bwana Trump ametoa Kali ya mwaka na Mpya kufuatia kudai kwamba picha zilizosambazwa na kampeni ya Harris ikionesha maelfu ya watu waliofika uwanja wa ndege Kumlaki na kumpokea eti ni za Uongo na zimetengenezwa na AI. Bwana Trump ambae ni Babu anaewania kuchaguliwa Rais amepigwa na Kiwewe...
  18. GoldDhahabu

    Uchaguzi wa Marekani 2024: Donald Trump ndiye chaguo la Mungu

    Kama wapinzani wake wangekuwa wanamwamini Mungu, wangeachana na mpango wao wa hila wa kutafuta kumkwamisha Trump kushinda kiti cha Urais mwezi Novemba mwaka huu, 2024. Hawatafanikiwa katika hilo asilani! Kwa mujibu wa "Wachungaji" mbalimbali wenye kipawa cha kuuona ulimwengu wa roho, Donald...
  19. BARD AI

    Rais Biden anatafakari iwapo atashindana na Trump katika uchaguzi wa Novemba

    MAREKANI: Mtandao wa New York Times umeripoti kuwa Rais Joe Biden anatafakari iwapo ataendelea na mipango ya kugombea Urais kwa awamu ya pili iki ni baada ya matokeo mabaya ya Mdahalo kati yake na Rais wa zamani, Donald Trump Imeelezwa kuwa Biden ametambua kuwa ana kibarua kigumu kuwashawishi...
Back
Top Bottom