uchaguzi wa marudio

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. LGE2024 Geita Mjini: CHADEMA yasusia Uchaguzi wa marudio Mtaa wa 14 Kambarage, kwa madai ya ukiukwaji wa Kanuni

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Geita Mjini kimetangaza kutoshiriki uchaguzi wa marudio wa nafasi ya Mjumbe wa kundi mchanganyiko katika Mtaa wa 14 Kambarage, kikilalamikia dosari kwenye mchakato wa uchaguzi wa awali. Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Geita Mjini, Pasiquna...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…