uchaguzi wa msumbiji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Uchaguzi wa Msumbiji: Kiongozi wa upinzani atangaza mpango wa kujisimika kuwa Rais Januari 15, 2025

    Licha ya uamuzi wa Mahakama Kuu ya Msumbiji mapema wiki hii kuthibitisha Daniel Chapo wa chama tawala cha Mozambique Liberation Front (Frelimo) kuwa mshindi wa uchaguzi wa Oktoba 9, kiongozi wa upinzani Venancio Mondlane ameapa kujitangaza rais Januari 15, akidai kuwa mamlaka yake yameporwa...
  2. Yanayojiri kwenye Uchaguzi Mkuu wa Msumbiji: FRELIMO (Chama rafiki ya CCM) kushinda Uchaguzi 09 Oktoba?

    Huko Msumbiji wanatarajia kufanya uchaguzi Mkuu tarehe 09 Oktoba 2024. Huku Mgombea wa FRELIMO Komredi Daniel Chapo (47) akitarajia kushinda kwa kishindo. Maana huko Msumbiji Upinzaji upo taabani kama tu hapo Tanganyika. FRELIMO bado ina nguvu sana kama CCM. # Waangalizi wa kimataifa wakiwemo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…