uchaguzi wa tls

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nyani Ngabu

    Uchaguzi wa CHADEMA 2025 na uchaguzi wa TLS 2017

    I don’t have a dog in the fight, but I’m starting to see similar kind of vibes between 2017 and 2025 in relation to Tundu Lisu. Mwaka 2017 Lisu aligombea urais wa TLS. Kabla ya uchaguzi huo, washabiki wa Lisu walikuwa vocal sana, hususan humu mitandaoni. Ilikuwa huwaelezi kitu kuhusu huyo...
  2. Huihui2

    Mwabukusi, uchaguzi umekwisha sasa jielekeze kwenye majukumu ya TLS

    Ushauri kwa Mwabukusi. Usicheze na jukwaa jikite katika MALENGO YA KUANZISHWA KWA TLS Kwa mujibu wa kifungu cha 4 cha Sheria ya TLS sura ya 307 malengo ya kuanzishwa TLS ni: (a)Kulinda na kukuza viwango vya taaluma ya sheria na mwenendo wa wanasheria nchini Tanzania; (b) Kuwezesha...
  3. T

    Naona kuna kelele na nguvu nyingi sana huku mitandaoni kuhusu uchaguzi wa TLS hebu mnielimishe ina uzito gani hasa!?

    Kumradhi wanabodi kuuliza si ujinga naona tu nguvu nyingi sana zina tumika kuhakikisha TLS Inapata kiongozi fulani. Pengine tofauti na jumuiya zingine nyingi ambazo wahusika huchaguana tu na sa nyingine huchaguana kimyakimya lakini kwa TLS hali ni tofauti sana Natamani sana kujua nini nguvu ya...
  4. Lord denning

    Baada ya Vyombo vya Kikatiba kushindwa kusimama kwenye nafasi zao hatimaye TLS yafanikiwa kuwa chombo pekee kinachosimamia misingi ya Kikatiba

    Watu watajiuliza kwa nini sasa TLS inakuwa maarufu sana? Jibu ni moja tu! Umaarufu wa TLS unatokana na vyombo vya kikatiba kushindwa kusimama katika nafasi yake hivyo kupelekea TLS kama watu wanaojua umuhimu na unyeti wa katiba zaidi kuwa na sauti hivyo kupelekea wananchi kuanza kuwaona kuwa...
  5. J

    Malalamiko ya Wakili Nkuba yanaonyesha aliitegemea sana kauli ya Nape kwamba Ushindi unategemea pia mtangaza Matokeo

    Moja ya sababu kubwa anayolalamikia Wakili msomi Nkuba ni Taarifa za Matokeo kuanza kutolewa kabla Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi Hajatangaza. Nkuba anaamini kabisa matokeo halali ni yale majumuisho yanayotangazwa na msimamizi wa Uchaguzi. Namkumbusha tu Nkuba hii ni Dunia ya Sayansi na Teknolojia...
  6. K

    Wenye Kujuwa Watufahamishe; Ucheleweshaji matokeo ya Uchaguzi wa TLS haukuwa na nia ya kutaka kubadili matokeo?

    Uchaguzi wa TLS umekuwa na mafunzo mengi, baadhi yakiwa wazi. Kwa mfano, juhudi kubwa zilizofanywa kumzuia mmoja wa wagombea wa nafasi hiyo asiwemo kwenye kinyang'anyio. Kampeni zilipoanza ilionekana nguvu za ziada zikielekezwa kwa mgombea aliyetakiwa kushika nafasi hiyo. Lakini juhudi hizo...
  7. J

    Tanganyika Law Society ilianzishwa na Wazungu mwaka 1954 ikiwa na Mawakili wote Wazungu

    Tunakumbushana tu Kwamba TLS iliasisiwa na Wakoloni kabla Tanganyika haijawa Huru Ahsanteni Mlale Unono 😀
  8. The Palm Beach

    Pre GE2025 Matokeo uchaguzi TLS: Ni kivuli cha mchuano mkali kati ya CHADEMA vijana wa GEN Z vs CCM ya wazee wa Establishment

    UPDATES: Kama ilivyotarajiwa na wengi, Adv. Boniface Mwabukusi akiwakilisha young lawyers maarufu kama GEN Z - CHADEMA ameshinda kwa kishindo kikuu na kuwa Rais wa TLS kwa miaka mitatu 2024 - 2026 kwa kuwapiga kipigo cha mbwa mwizi wazee wa mfumo corrupt yaani CCM ESTABLISHMENT Juhudi kubwa...
  9. J

    Tundu Lissu: Mawakili wa Tanzania hatuwafikii Mawakili wa Kenya kwa hatua 100

    Wakili Msomi Tundu Antipas Lissu amesema Mawakili wa Tanzania hawawafikii Mawakili wa Kenya kwa hatua 100 Source: Mwanzo TV Plus. Soma zaidi: Uchaguzi wa Rais TLS: Nani kuibuka kidedea Urais TLS 2024?
  10. Idugunde

    Hivi huyu kijana wa CHADEMA ni msaidizi wa Mwabukusi? Ameenda Dodoma kama nani wakati sio wakili?

    Najiuliza sana maana kila alipo lazima na yeye atakuwepo
  11. Yesu Anakuja

    Wakili wa Serikali kupiga kura TLS sio haki, ukweli usemwe

    Nimejiuliza sana, mawakili wa serikali wana umoja wao unaitwa TPBA (Tanzania Public Bar Association) yaani umoja wa mawakili wa serikali Tanzania, na wana Rais wao. Upande wetu TLS ukiongea kiuhalisia kabisa, unahusu Mawakili wa kujitegemea. TLS inajali maslahi ya mawakili wa kujitegemea, na...
  12. Cute Wife

    Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274

    Wakuu, https://www.youtube.com/live/xowt9FmWrvQ?si=db2lZWYu079tIJb7 UPDATE: Mwabukusi ashinda Urais TLS kwa kura 1274 Jumla ya kura: 2218 Kura zilizoharikika: 3 1. Boniface Mwabukusi - 1274 2. Sweetbert Nkuba - 807 3. Kapteni Ibrahim Bendera - 58 4. Paul Kaunda - 51 5. Emmanuel Muga - 18 6...
  13. dubu

    Kama kweli Raisi Samia kaingilia Uchaguzi wa Tanganyika Law Society, itakuwa ni hujuma na ukatili wa hali ya Juu

    Salaam Wakuu, Mwezi wa nane chama cha Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Law Society - TLS) wanafanya Uchaguzi wa kumchagua raisi wao na Viongozi wengine. Kitu ambacho kimewashangaza wengi, ni kukatwa kwa jina la Wakili Mwabukusi asigombee Urais wa TLS kwasababu eti anawavunjia heshima Viongozi...
Back
Top Bottom