uchawa ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pre GE2025 Professor Jay: Watanzania kumshambulia AY kwa kuonekana kwenye majukwaa ya CCM sio sawa. Wasanii wengi pia wapo CHADEMA

    Wakuu Msanii Profesa Jay amesema baadhi ya Watu wanaowashambulia Wasanii kama Ay na wengine kutokana na kupanda kwenye majukaa ya Vyama vya siasa, hawawatendei haki kwasababu Tanzania ni nchi ya Kidemokrasia. Kwenye mahojiano maalum na Mtangazaji Millard Ayo, Profesa Jay ameeleza yafuatayo...
  2. Pre GE2025 Wenyeviti wa Mitaa Jimbo la Temeke waungana kumuombea dua Rais Samia kwa lengo la kumtakia afya njema

    Wakuu, Wenyeviti wa mitaa wa Jimbo la Temeke, Dar es Salaam, wameungana kwa pamoja kumuombea dua Rais Samia Suluhu Hassan kwa lengo la kumtakia afya njema, hekima na uongozi mwema ili aendelee kuiongoza nchi kwa amani na kuleta maendeleo. Soma pia: Picha: Viongozi wa Dini wakiwa viwanja vya...
  3. Pre GE2025 Viongozi wa kiume kushona sare ya kitaifa ya siku ya wanawake ni sababu ya uchawa?

    Wakuu, Kama mnavyojua leo ni siku ya wanawake duniani na huko mitandaoni nimeona baadhi ya viongozi wa CCM wamevaa mavitenge yenye picha za Rais Samia. Vitenge kama mnavyojua ni fabrics za wanawake. Nyie wana CCM wanaume ambao mmmeshonesha mashati ya vitenge mnataka mtutumie ujumbe gani? Ni...
  4. Chawa wa Rais Samia Rais Mwinyi ni waumini watiifu wa imani ya pili ya manifesto kuu ya CCM ya kila mtu astahili heshima ya kutambuliwa

    Kifungu cha hii imani tukufu: 2) Kila mtu astahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake....". Chawa hawa ni wazalendo wa kuigwa kwa kuiendeleza imani hiyo na tunu za taifa letu. Rais ni nembo yetu, urais ni TUNU yetu.Tunapoheshimiana utu wetu huku mitaani tuubague UTU na heshima ya...
  5. Machozi ya furaha yananidondoka kila wakati ni kitazama maendeleo makubwa yalioletwa na Rais Samia

    Rais wetu kipenzi cha Watanzania wote Dkt Samia Suluhu Hassani, hakika kazi unayoifanya ni kubwa sana maana kila kona ni maendeleo. Kwenye huduma za afya umeweka hela nyingi kama vile ujenzi wa zahanati, vituo vya afya, madawa n.k Umegusa kwenye miundombinu ya barabara huko usiseme, Umeme upo...
  6. Pre GE2025 Chawa wa Rais Samia wapokelewa na kupongezwa Zanzibar, waahidiwa kupewa Ushirikiano na Serikali

    Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman amewapokea na kuwakaribisha Chawa wa Rais Samia huko Zanzibar na kuwaahidi kuwa Serikali ipo nao na inaunga mkono mambo wanayofanya. Aidha, amewaomba kuendelea kuyasema yale mema na mazuri yanayofanywa na Rais Samia pamoja na Rais Mwinyi ili...
  7. Pre GE2025 Picha: CCM hawa Wachina ni wapiga kura wenu? Kwanini mmewavalisha Tshirt za Rais Samia?

    Wakuu, Baada ya wasanii na mashirika mbalimbali kuunga mkono juhudi sasa CCM wameanza kwenda hadi kwa raia wa kigeni. Kuna muda CCM wanapenda tu watu tuongee mseme watu wanakosoa kila kitu. Hapa ilikuwa ni kwenye ufunguzi wa Kiwanda cha Chokaa na Saruji cha Maweni huko mkoani Tanga...
  8. Uchawa utaliangusha taifa

    Hii tabia ya kila kitu mama mama mama inachosha kuchusha kuboa na kutia kinyaa. Unakuta kijana ana nguvu zake safi tu badala achape kazi atoboe yeye anashabikia mtu ili apate kitu. Ukiona WALIMU WANAFUNZI WA vyuo nk wanatengeneza makundi ya whasap na kujinasibisha na mama sio kwamba wanampenda...
  9. Pre GE2025 Mkuu wa Wilaya ya Tanga akabidhi madaftari 1,000 yenye picha ya Rais Samia. Uchawa umefika kwa watoto wetu!

    Mkuu wa Wilaya ya Tanga Japhar Kubecha akiwa ameambatana na Katibu Tawala wa Wilaya ya Tanga Dalmia Mikaya kwa kushirikiana na Taasisi ya Watoto Foundation wamekabidhi madaftari zaidi ya 1000 katika Shule tatu za msingi kwa Wanafunzi wenye mahitaji maalumu katika Jiji la Tanga. Akiongea wakati...
  10. L

    Shughuli za Ujenzi Zimeongezeka sana Mitaani Awamu Hii Ya Rais Samia na kutoa Fursa Ya Upatikanaji wa Pesa kwa vijana Mitaani

    Ndugu zangu Watanzania, Hakuna kipindi Ambacho nimeshuhudia mafundi ujenzi wakiwa Bize mitaani kama awamu hii ya Rais Samia. Muda wote na siku zote unaona mafundi wakiwa katika site mbalimbali wakiendelea na shughuli za ujenzi. Ni wao tu kuchagua mahali pa kwenda kati ya miradi ya serikali au...
  11. Ukiacha Rais Samia Suluhu Hassan ni nani anafuatia kwa kupendwa na kusifiwa?

    Kama sifa zingefanya binadamu aishi milele, kama kupewa majina yenye sifa kama mtukufu, mpendwa, mbeba maono, Daktari bingwa, profesa, msafi, msikivu, mpendwa, mwenye elimu sana kuliko hata Maprofesa, mwanafalsafa, muumini, mpenda watanzania hata wadudu, mzalendo, mchangamfu, mpole, mwenye...
  12. Pre GE2025 Waziri Abdallah Ulega: Mkuranga hatumdai Rais Samia chochote, hii ni sababu moja wapo ya CCM kushinda chaguzi zijazo kwa kishindo kikubwa

    Ni mwendo wa kuwa chawa tu mpaka uhakikishe kambo yako imefungwa vizuri kwenye mtu uanze kula! ==== Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 “Kwa namna ya...
  13. Pre GE2025 Gazeti la Mwananchi: Sekretarieti ya CCM Imejaa Watu "Machawa"

    Kwa mujibu wa maelezo ya gazeti la Mwananchi wakinukuu maoni ya Luqman Moloto anasema Sekretarieti ya CCM Imejaa Watu "Machawa" au Tegemezi ambao wanakitegemea chama kuliko Chama kuwategemea wao ukilinganisha na Wapinzani. My Take CCM ni chama Pendwa, maoni haya yanaonesha Mwananchi ni...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…