Kifungu cha hii imani tukufu:
2) Kila mtu astahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake....".
Chawa hawa ni wazalendo wa kuigwa kwa kuiendeleza imani hiyo na tunu za taifa letu.
Rais ni nembo yetu, urais ni TUNU yetu.Tunapoheshimiana utu wetu huku mitaani tuubague UTU na heshima ya...
Wakuu Habari ya Jumapili...
Niende moja kwa moja kwenye mada,miaka ya karibuni kumezuka mtindo mpya wa maisha ya kusifia watu Mbele ya camera na kupewa pesa,wenyewe machawa wanaita "kuokota".
Vijana wengi wamekua wakidhani hayo ni maisha halisi bila kujua scene nyingi ni maigizo,matangazo au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.