uchawa kwenye siasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkunazi Njiwa

    Chawa wa Rais Samia Rais Mwinyi ni waumini watiifu wa imani ya pili ya manifesto kuu ya CCM ya kila mtu astahili heshima ya kutambuliwa

    Kifungu cha hii imani tukufu: 2) Kila mtu astahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake....". Chawa hawa ni wazalendo wa kuigwa kwa kuiendeleza imani hiyo na tunu za taifa letu. Rais ni nembo yetu, urais ni TUNU yetu.Tunapoheshimiana utu wetu huku mitaani tuubague UTU na heshima ya...
  2. Sheikh23

    Uchawa na kutafuta trending mitandaoni kutaua elimu yetu

    Wakuu Habari ya Jumapili... Niende moja kwa moja kwenye mada,miaka ya karibuni kumezuka mtindo mpya wa maisha ya kusifia watu Mbele ya camera na kupewa pesa,wenyewe machawa wanaita "kuokota". Vijana wengi wamekua wakidhani hayo ni maisha halisi bila kujua scene nyingi ni maigizo,matangazo au...
Back
Top Bottom