Hivi huyo Makamba anatugeuza Watanzania wote mazwazwa eti?!
Yaani mambio yooote yale ya yule msukuma Kalemani kabla hajafutwa tulipokuwa tunamuona huko Rufiji huku kazi zikiendelea eti leo Makamba anatujuza mradi upo nyuma kwa siku zote zile?!
Yaani ukali wote wa Hayati JPM hasa alivyokuwa...