uchifu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Usultani na Umangi au Uchifu: Hatari zake katika Maendeleo yetu kwa siasa za Tanzania

    Utangulizi: Katika jamii zetu za Kiafrika, dhana za usultani, umangi, na uchifu zimekuwa na mchango mkubwa katika utawala na usimamizi wa mambo ya kijamii. Hata hivyo, wakati mwingine, mifumo hii inaweza kuleta changamoto kubwa kwa maendeleo yetu. Katika muktadha wa kisasa, tunashuhudia mifano...
  2. Hivi wizara ya ardhi inapoteua Mahakimu wa mahakama zao huwa inawapa hadhi ya uchifu? Nimekuta wawili hapa Dar wana miaka 10

    Nimeenda nimerudi, hawa jamaa wapo, hawahamishwi, tofauti na mahakama za kawaida. Sijui kama Wizara wana utaalamu na mila za kuendesha mahakama kwamba hawa watu wa maamuzi hawatakiwi kuwa miaka 10 au 15 kituo kimoja
  3. Mchakato wa kufufua na kurasimishwa uchifu; kwanini sasa?

    Sababu ni ini hasa? Ambapo ulipuuzwa awali kwa kutoonekana umuhimu wala mchango wake, kwa mkoloni, na tawala za Uhuru wa Bendera zilizofuata baada yake, Nyerere aliua uchifu wa makabila yote mengine, isipokuwa wa buzanaki (muhunda wa mwitongo) Tatizo hasa lilikuwa nini? Je, kiukweli uchifu...
  4. Sagini asimikwa Uchifu Butiama apewa jina la Mshora

    Wazee wa Mila Wilayani Butiama Mkoani Mara wameiomba Serikali iweze kuwachukulia hatua Wanasiasa ambao wamekuwa wakileta ukabila, ukanda na udini kwenye mambo ya maendeleo hali inayoweza kuleta machafuko baina yao. Wameeleza hayo wakati wakimsimika uchifu Jumanne Sagini ambaye ni Mbunge wa...
  5. Machifu wa Ufipa waomba Makumbusho ya Wafipa, wakimsimika Uchifu Chongolo

    KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Godfrey Chongolo amesimikwa Uchifu na Wazee wa Kabila la Wafipa mkoani Rukwa na kukabidhiwa mkuki na upinde na kuvalishwa mgolole, huku wakiomba wajengewe Makumbusho ya Kabila la Wafipa. Tukio hilo liliongozwa na Chifu wa Kabila la Wafipa, Chifu...
  6. K

    CHADEMA bado mnajadili Rais Samia kupewa uchifu?

    Mwaka 2021 Mhe. Rais Samia Suluhu alisimikwa kuwa Chifu mkuu na Umoja wa Watemi wa Kisukuma kwa kushirikiana na Umoja wa Machifu Tanzania, katika tamasha la Utamaduni wa Mtanzania na kumpa jina la Hangaya, lenye maana ya Nyota inayong’aa asubuhi. Baada ya tukio hilo upinzani wakiongozwa na...
  7. Uchaguzi unatugawa sana -bora turudi kwenye uchifu

  8. S

    Uchifu ni ushirikina, ukabila na kafara

    Jamii ya watanzania ilishatoka huko kwenye uchifu! Na huu upuuzi ukiendekezwa utaturudisha nyuma sana hasa kwenye baadhi ya jamii kwa kuongeza ushirikina na uchawi hivyo kupelekea mauaji kila kona ya nchi! Ukitizama nchi ya Nigeria ina matatizo mengi sana kwa kuwa inaruhusu uchifu kitu ambacho...
  9. Uchifu sasa unatambulika rasmi kama sehemu ya uongozi Kiserikali?

    Uongozi wa kikabila na kimila wa kichifu ulifutwa enzi za baba wa taifa mwl Nyerere. Zimepita awamu nne hatujaona marais wakijangaika na machifu na uchifu. Lakini katika sehemu ya mwisho ya awamu ta tano ambayo inaendeshwa na Rais aliyerithi baada ya aliyechaguliwa kufariki naona kumeanza...
  10. Uchifu - Ni kitu kizuri Rais kuenzi utamaduni wa Mwafrika

    Afrika kabla ya kutawaliwa tulikuwa na mila na desturi zetu. Wakati huo hatukuwa na dini kama vile uislam na ukrito lakini tulikuwa na njia zetu wenyewe za kuomba kitu fulani kitokee au kujiepusha na janga. Haya mafundisho ya dini kubwa za leo yaliletwa na mabeberu. Na unajua baada ya kutuletea...
  11. B

    Vitabu vitakatifu vimekataza kuabudu miungu. Je, kuanzisha uchifu siyo kupingana na maagizo ya Mungu? Wanasiasa mnamkufuru Mungu

    Nchi imekuwa ngumu kutawalika, tunawatafuta machifu Kwa lengo lakuwatumia Kwenye Siasa 2025. Hii inatokana na ukweli kwamba wale wanaoitwa machifu siyo viongozi wa kimila Bali ni wazee wastaafu wenye kadi ya Chama cha Mapinduzi. It's like Jumuiya ya wazazi imeshindwa kuaminika nakufanya kazi...
  12. Tuwaepuke wanasiasa wanataka kutuletea ukabila kupitia uChifu

    Tanzania ya Mwl Nyerere ilijengwa katika misingi ya umoja na ndio sababu kubwa ya kufuta uchifu. Leo taifa letu lina zaidi ya miaka 60 tangu tupate uhuru anatokea mwanasiasa mmoja anaenzi uchifu. Mataifa kama Uganda na Nigeria ambayo yaliendelea na uchifu yalijikuta yakipata matatizo makubwa...
  13. B

    Serikali ipeleke Bungeni Mswada wa kurudisha Uchifu

    Kichwa cha habari kinajieleza vizuri kwani hii itaondoa malamiko mengi dhidi ya uvunjwaji wa sheria unaoendelea - kusimikana uchifu - kitu kilichopigwa marufuku takriban miaka 60 iliyopita?
  14. Issa Shivji: Ufutaji wa Uchifu Kisheria, ulitusaidia sana kujenga umoja wa kitaifa

    Kwani uchifu ni utamaduni wetu? Makabila mengi hawakuwa na wachifu. Waliwekwa na wakoloni kwa maslahi yao (km Wazanaki). Uchifu ulipigwa marufuku na sheria mnamo 1962. Machifu waliyokuwepo (km Adam Sapi, Fundikira, Kunambi nk) waliingizwa Serikalini katika nyadhifa mbalimbali. Ufutaji wa...
  15. J

    CCM yampongeza Rais Samia kutunukiwa Uchifu

    CCM yampongeza Rais Samia kutunukiwa Uchifu "Chama Cha Mapinduzi kitaendekea kupiga vita sera za udini, ukanda na ukabila lakini hakitaacha kutowatambua machifu na watemi. Hivyo kinawapongeza umoja wa machifu Tanzania kwa kumsimika@ Rais Samia Suluhu Hassan uchifu mkuu wa machifu wote...
  16. Mwanamke na Uchifu

    MWANAMKE AWEZA KUWA CHIFU? Taarifa kuwa Rais Samia Suluhu amepewa hadhi ya Chifu kule Mwanza zimepelekea baadhi ya watu kuhoji kama kunaweza kuwa na Chifu mwanamke. Mchango wa Askofu hapa chini unalenga kupanua wigo wa mjadala kwa lengo la kuelimisha. Neno Chifu, limetolewa kutoka katika neno...
  17. J

    CHADEMA, wakati Tundu Lissu anasimikwa uchifu kule Geita mlishangilia sana wala hamkusema uchifu ulifutwa

    Nimewasoma makamanda humu mitandaoni wakipiga porojo eti uchifu ulifutwa, ulifutsa wapi? Mbona akina Chifu Marealle bado wanahudumu? Mbona Tundu Lisu wakati wa kampeni alisimikwa uchifu? Mbona pale Kalenga Chifu Mkwawa bado anahudumu? Nawakumbusha tu maana kwa sasa chadema wanaparamia tu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…