uchimbaji wa mchanga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Uchimbaji wa mchanga Mtaa wa Mbopo Kata ya Mabwepande mto Nyakasangwe

    Kwa muda mrefu sasa mto Nyakasangwe unaotenganisha wilaya ya Ubungo kata ya Msumi na Kinondoni kata ya Mabwepande kumekuwq na uchimbaji holela wa mchanga. Mara kadhaa wanachi kwa kushirikiana na serikali za mitaa ya Mbopo na Msumi wamekuwa wakitoa taarifa kwenye vituo vya polisi vilivyo jirani...
  2. passion_amo1

    Uchimbaji Wa mchanga ndani ya mto Msimbazi Ulongoni B

    Wakuu Habari za uzima? poleni na harakati za kuendelea kulijenga Taifa letu. Kuna jambo nahitaji kuliandika hapa ili wenye mamlaka watusaidie kutupa ufafanuzi. Kwa muda sasa wakazi wa Ulongoni B Karibu na darajani mtakubaliana na mimi kumekuwa na gari aina ya kijiko kikichimba mchanga ndani ya...
  3. K

    Mamlaka Bariadi zimeruhusu uharibifu huu wa Mazingira?

    Ni kama Mamlaka zinazohusika na utunzaji wa mazingira katika Wilaya ya Bariadi, zimeruhusu uharibifu huu wa mazingira unaofanya kwenye vyanzo vya maji. "Uchimbaji wa mchanga katikati ya mito". Uharibifu huu umeanza muda mrefu lakini hakua hatua zinazochukuliwa, wachimbaji wa mchanga wenyewe...
Back
Top Bottom