Kufuatia tukio la kifo cha Mwanafunzi wa chuo Kikuu cha Dodoma Nusura Hassan Abbdallah kuendelea kujadiliwa katika mitandao ya kijamii, vyombo vya Habari na watu mbalimbali wakitaka uchunguzi wa kina kufanyika ili ukweli kupatikana, @Jambotv_ imefanya mahojiano maalumu na Mwenyekiti wa Kijiji...