uchukuaji fomu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. LGE2024 Isihaka Mchinjita: Katika baadhi ya maeneo wagombea wetu wametakiwa ili wapewe fomu ni lazima wapeleke vitambulisho vya uraia

    Hali inakuwa si nzuri kwa vyama pinzani nchini kwenye uchaguzi huu wa serikali za mitaa ambapo kila leo unasikia wanakutana na vibwanga. Leo ACT Wazalendo wanasema wagombea wao bila NIDA basi fomu awapati. Mbona tuliambia kwamba uchaguzi huu utakuwa wa uhuru na haki! Lakini hali na kasoro kibao...
  2. LGE2024 Wakili Msomi atangaza kugombea Uenyekiti wa Kijiji kijijini kwao

    Kwa Mujibu wa Maelezo yake Wakili huyu Msomi anayeitwa Deogratius Mahinyila, anasema kwamba, siku zote imekuwa Ndoto yake kusaidia wanakijiji wenzake. Kwa kukumbusha tu ni Hivi, Huyu kijana aliwahi kubambikiwa kesi ya Uhujumu Uchumi na serikali ya Dikteta Magufuli kwa kosa la kugombea Udiwani...
  3. LGE2024 Rungwe: Hivi ndivyo Wagombea wa CHADEMA walivyochukua fomu za kugombea Uenyekiti wa Serikali za Mitaa

    Kama ulidhani Uchaguzi huu ni lelemama, na labda ulitarajia Wagombea wako watapita bila kupingwa kwa vile kuna kitisho cha kutekwa na kuuawa, basi anza kutafakari Upya Hawa hapa ni Wananchi wa Kata ya Ndato wakiwasindikiza Wagombea wa Chadema kuchukua fomu. Soma Pia: CHADEMA waanza kuchukua...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…