uchumi bora

Uchumi Supermarkets, often referred to simply as Uchumi, is a Kenyan supermarket chain. The word uchumi means "economy" in Swahili.

View More On Wikipedia.org
  1. Augustine Aloyce

    Jipange upya mwaka 2025

    Good Morning 🌞 for Everyone. 2025 Jipange upya njia uliyoitumia kuyaendea mafanikio na plan zako mwaka 2024 usikubali kurejea nayo kwani adui wamekutegea mikwamo mingi sana pengine mwaka 2025 usifike hata robo ya safari yako ya mafanikio, Ninachotamani uelewe ni hiki hapa!! Umekuwa ukifanya...
  2. ESCORT 1

    Baada ya kupaona nyumbani kwa marehemu Mafuru, sina budi kusema bado nina safari ndefu sana ya kutafuta pesa

    Niliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru. Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!! Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu
  3. G

    Amka usingizini, Sio kila aliefanikiwa kateseka, Pigana ufanikiwe uanzishe kizazi chako kifanikiwe bila mikiki mikiki

    Kuna misemo kwamba ukiona bosi kakalia kiti cha kuzunguka (lugha ya mafumbo kutoboa) ujue kafanikiwa, fanya kazi kama mtumwa uishi kama mfalme, n.k. Hio misemo ni kwajili yetu tuliotokea familia duni, ili kutoboa ni lazima upambane sana aidha usome sana ubahatike kuajiriwa sehem yenye maslahi...
  4. DaudiAiko

    Kujitegemea kwenye uzalishaji ni jambo muhimu katika ukuaji wa uchumi wowote

    Wanabodi, Kupokea na kuuza nje bidhaa mbalimbali ni jambo la muhimu na la kawaida katika nchi yoyote. Kulingana na uhitaji wa bidhaa mbali mbali au mahusiano kati ya nchi moja na zingine, bidhaa huingizwa kukidhi mahitaji haya au huuzwa nje ya nchi kuiingizia serikali na makampuni husika...
  5. C

    Mliwezaje kuinuka tena?

    Ningependa kufahamu, wengine mliwezaje kuinuka tena baada ya kuanguka kiuchumi? Mlitumia mbinu gani kuondoka katika hali ya ufukara uliokithiri, na ni nini kilichowasaidia kufanikisha hilo? Mbona kwangu imekuwa tofauti sana? Inaonekana kuisha miaka mitatu, bado nikiwa katika giza nene baada...
  6. Ze_Papirii

    Je, Kiwango chako cha fedha kikubwa cha kusave kwa mwezi ni kipi na nini kinakukwamisha usisave?

    Habari wana JF Natumaini tuna vipato tofauti tofauti humu ndani embu leo tupeane utaalamu kidogo wewe unaweza kusave kiasi gani kwa mwezi na ni asilimia ngapi ya kipato chako kwa mwezi hiyo ela unayosave na Je kama huwezi kusave kabisa ni nini kinakukwamisha.? Binafsi kwa mwezi nimejiwekea...
  7. Shooter Again

    Tangu mwezi wa kumi uanze, wananchi tunafurahia neema ya pesa nyingi sana

    Nashangaa Kuna watu wanalalamika maisha ya Tanzania yamekua magumu mbona wananchi tunafurahia sana maisha maana tuna viongozi wanaotujali. Tunamshukuru sana Mungu Kwa kutupa viongozi imara kupitia chama Cha ccm maana nchi imejengeka sana na wananchi tunaishi maisha mazuri na mwakani kura yangu...
  8. LoneJr

    Nina ndoto za kuwa huru kiuchumi kabla ya miaka 26, lakini Sina mwanga wa kipi nianze kufanya

    "Wakuu habari. Nina umri wa miaka 20 sasa lakini pia kipato nilichonacho kwa siku hakizidi 7000 Nina ndoto za kuwa huru kiuchumi kabla ya miaka 26 lakini Sina mwanga wa kipi nianze kufanya."
  9. P

    Je, mshahara wako unakidhi mahitaji yako vyema?

    Nawapa tips watu wa mshahara, hii ni gauge ya kujipima kama unafanya kazi au unafanywa kazi, nitatumia mifano hai, ambayo unaweza kurelate nayo kwa Tanzania. Ukiona inakukera ujue ushafeli. 1. Mshahara wako wa mwezi kama hauwezi kununua smart phone mpya ya flagship kwa mwaka husika. Mf. Pixel...
  10. L

    Mfumuko wa bei washuka huku uchumi ukiendelea kuimarika kwa kasi ya ndege vita

    Ndugu zangu Watanzania, Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe, anaendelea kuonyesha miujiza iliyokuwa kama haiwezekani kufanyika , anaendelea kukosha mioyo ya watanzania, anaendelea kugusa kila eneo. Anaendelea kukuza uchumi wetu kwa kasi ya ndege vita, anaendelea kuonyesha kuwa hajafika hapo...
  11. Hypersonic WMD

    Njia 101 za kua billionaire!

    1.Fungua youtube channel -Hapa focus kwene kipaji chako, waonyeshe au waambie watu kuhusu kipaji chako. Kama n mbea pia uwe unaongelea watu maarufu 2.Uza vitu/bidhaa -Kam huna mtaji anza kuuza vitu kama makopo ya kuotota ,vyuma chakavu -kama unamtaji tafuta bidhaa peleka sehemu ambayo inauzika...
  12. Berlin

    Najihisi kukata tamaa lakini sitokata, nitapambana

    Natumai mko salama. Ningependa kushiriki nanyi wana Jf kuhusu hali yangu ya kifedha na biashara yangu. Biashara yangu imekuwa ikifanya kazi kwa mwaka sasa, lakini mapato yameanza kupungua kutoka kiwango kilichokuwa awali hadi kufikia nusu (ni miezi mitano sasa) Nina mfanyakazi niliemlipa kila...
  13. Tlaatlaah

    Ili kuwa na uchumi imara fursa ya kipekee ni kilimo, ufugaji na biashara

    Gas ya kupikia kwisha wakati huna jambo lolote mfukoni, au Gas iishe wakati una njaa na ndio tu ameanza kupika na wewe ndio uko njiani unatoka kwenye marejesho ya mkopo? Mbaya zaidi, store hakuna mkaa na mara ya mwisho ulimkopa mangi na hujamlipa mpaka sasa... Wajemeni, kuna afadhalli yoyote...
  14. MamaSamia2025

    Kama wewe bado ni fukara wa kipato cha chini ya Tsh 28m kwa mwaka soma hapa

    Kwanza kabisa nakubaliana kuwa maisha hayana kanuni kwenye kuyaishi. Kila mmoja ana njia zake za kujipatia kipato ili mradi ni halali. Pia kila mmoja ana tafsiri yake ya utajiri na umaskini. Kwa upande wangu kama una kipato cha chini ya $10000 (Approximately Tsh 28m) kwa mwaka basi wewe ni...
  15. Financial Intelligence

    Kafulila: Pato la Kila Mtanzania litafikia TZS 17M kwa mwaka 2050

    Hiki ndicho alichokiandika Kafulila kwenye Ukurasa wake wa X, "Kati ya mwaka 2000 na 2025, pato la kila Mtanzania liliongezeka mara manne ( 4 ) kutoka US$360 mpaka US$ 1500 kama ikiendelea hivyo, mwaka 2050, pato la kila Mtanzania litakuwa US$ 6,000 sawa na Pato la Mwafrica ya...
  16. felakuti

    Wadau nisaidieni ushauri kimawazo kwenye jambo hili

    Hamjambo wana JamiiForums Wakati mwingine unaweza kuwaza sana hadi kichwa kinataka kubasti, kuna kipindi kabla sijawa mtu mzima nilikua napishana na mtu anaongea mwenyewe na kurusha mikono hewani, nilikua najiuliza sana, ila badae sana nikapata majibu. Wadau nina nyumba mbili katika kupiga...
  17. matunduizi

    Umuhimu wa kujiwekea kiwango cha chini cha umasikini binafsi usiovumilika

    Hatupaswi kuishi jumlajumla. Ni vizuri ukajitathmini na ujiwekee kiwango chako cha pesa na mali ambacho chini ya hapo utafanya lolote usishuke. Madhara ya kuishi bila kujiwekea kiwango chako cha chini cha umasikini au kuishiwa utajikuta umeingia kwenye levo ya umasikini ambao haitawezekana...
  18. Membe S K

    Nafasi ya Sekta binafsi kwenye uchumi wetu

    NAFASI YA SEKTA BINAFSI KWENYE UCHUMI WETU Andiko hili linaongelea nafasi na umuhimu wa sekta binafsi katika uchumi na maendeleo yetu tangu tulipoubwaga ujamaa wa Mwl Nyerere na kuingia kwenye mfumo wa kibepari. Kiufupi andiko hili linasema kwamba mchango wa sekta binafsi katika pato la taifa...
  19. Golden Elimeleck

    SoC04 Tanzania mpya yenye uchumi Bora uliochangiwa na uingizwaji wa kimkakati wa teknolojia mpya

     Tanzania inakabiliwa na changamoto kubwa za kiuchumi, ikiwemo upungufu wa kibiashara(yaani trade deficit) ambayo kwa sasa inafikia karibu 6% ya Pato la Taifa. Kulingana na takwimu za hivi karibuni, mauzo ya nje(Exportation) yanachangia takribani 17.4% ya Pato la Taifa la Tanzania, huku...
  20. D

    SoC04 Tanzania tuitakayo: Tanzania nchi ya kipekee yenye uchumi imara na kiwango cha chini cha maradhi yasioambukiza ((non-communicable diseases (ncds))

    Robo karne ijayo Tanzania itakuwa katika nafasi bora ya kiuchumi hili ni jambo la kutia moyo. Hakuna jambo jema likosalo changamoto zake, changamoto kubwa wa ukuaji wa uchumi ni ongezeko la watu wenye maradhi yasioambukiza na ongezeko kubwa la vifo vinavyotokana na maradhi yasioambukiza NCDs...
Back
Top Bottom