Ningependa kufahamu, wengine mliwezaje kuinuka tena baada ya kuanguka kiuchumi? Mlitumia mbinu gani kuondoka katika hali ya ufukara uliokithiri, na ni nini kilichowasaidia kufanikisha hilo?
Mbona kwangu imekuwa tofauti sana?
Inaonekana kuisha miaka mitatu, bado nikiwa katika giza nene baada...