Good Morning 🌞 for Everyone.
2025
Jipange upya njia uliyoitumia kuyaendea mafanikio na plan zako mwaka 2024 usikubali kurejea nayo kwani adui wamekutegea mikwamo mingi sana pengine mwaka 2025 usifike hata robo ya safari yako ya mafanikio,
Ninachotamani uelewe ni hiki hapa!!
Umekuwa ukifanya...
Wakuu kwenye familia yetu tuna asset muhimu kama ardhi, mashamba na nyumba kadhaa ila usimamizi ndio hakuna.
Kama mtoto niliesomeshwa na kuhitimu elimu ya juu natamani siku moja familia yangu iwe familia kubwa na yenye miradi endelevu kwa manufaa ya familia na jamii kwa ujumla.
Wakuu, kwa...
Maisha ni foleni na siku zinasogea pole pole Muamini MUNGU ipo siku utafanikiwa
Ata kama sio Leo "NDUGU" yangu Ila amini ipo siku utafanikiwa
Mungu wetu halali wala hasinzii "anasikia maombi yetu"
VUMILIA shida "Ila NB usivumilie dharau unaemmudu deal nae perpendicular" 🤣ukiendekeza unyonge...
wengi wao huishi ifuatavyo:
Ofisini jumatatu hadi jumamosi kuondoka majumbani alfajiri kurudi usiku, kukosa muda wa kuspend na familia
likizo pekee ni Christmas, Pasaka au Idi
wakiumwa biashara zinayumba, hospitalini hawana bima wanakamuliwa pesa nyingi
Marejesho ya mikopo kwa benki
Faini za...
Wote wenye Nia ya kugombea nafasi za uongozi hasa uchaguzi wa nafasi ya Urais mwaka 2025 wajikite kwenye masuala ya Usalama na uchumi.
Kwanza, wajikite kwenye kuimarisha Usalama wa nchi. Hali sio nzuri kwa Sasa kutekwa na kupotezwa imekuwa Jambo la kawaida kwa Sasa. Inatakiwa Rais ajaye aweke...
Habari Wana JamiiForums,
Natumaini mko salama na mnaendelea vizuri na shughuli za kila siku. Leo ningependa tujadili jambo muhimu sana linalotuhusu sisi sote kama Watanzania. Tujaribu kuangalia jinsi tunavyotumia pesa zetu baada ya kupata ujira wetu na ni kwa kiasi gani tunachangia uchumi wa...
Imewahi kunukuliwa kwa viongozi waliopita wa Taifa letu na kitu ambacho ni ukweli ya kwamba nchi yetu ni tajiri, Na utajiri wetu unajidhihirisha katika rasilimali zetu za asili kwa maana ya madini, mbuga za wanyama (utalii), maziwa, mito na bahari, ardhi na watu. Kwa maana nyingine tuna kila...
haki jinai
haki za walemavu
maslahi ya taifa
rasilimali za taifa
rushwa kwa wanahabari
tume huru ya taifa ya uchaguzi
tume huru ya uchaguzi
uchumiimarauchumi jumuishi
utawala bora
Tanzania tumekuwa tukipata wakati mgumu namna ya kuimarisha uchumi wa taifa ambo ndio dira ya Taifa kwa jamii nzima Katika kukua kwa uchumi na kuachana na umasikini;
Naitwa Raphael Edson mkazi wa mafinga iringa
Tanzania tumekuwa tukifanya maendeleo ya macho na si mwendo kwa muda mrefu kwasababu...
Picha kutoka shirikisho la vyama vya watu wenye ulemavu Tanzania.
Mungu hajakosea kumfanya kila mmoja wetu jinsi alivyo,japo kati yetu kuna walemavu ambao huwa na matatizo au upungufu wa kimwili ,kiakili au kihisia ambao huwafanya kushindwa kufanya baadhi ya shughuli kwa njia ya kawaida...
Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.
Matokeo ya kura yakaonesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.
Baada ya matokeo hayo...
ali hassan mwinyi
benjamin mkapa
gazeti la mwananchi
magufuli
mkapa
mwananchi
mwl julius nyerere
rais magufuli
rais samia
the citizen
uchumiimarauchumi wa tanzania
Benki ya Metro inayopitia changamoto kwa sasa ilisema Alhamisi tarehe 30/11/2023 kuwa inatarajia kupunguza idadi ya wafanyakazi kwa 20% kama juhudi sehemu ya juhudi za kokoa Pauni milioni 50 (Tsh. Bilioni 1.2~) kwa mwaka.
Tangazo hilo ambalo linaathiri takriban ajira 800, siku hiyo hiyo pia...
1. Rais mstaafu, Jakaya Kikwete
2. Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe
3. Mzee Yusuph Makamba
Sina mengi sana, kazi iendelee let we trust our beloved Rais Samia atawashauri wafanye maamuzi hayo.
Unataka kuwa na uchumi imara...? [emoji123][emoji116]
Kuna mambo mengi ambayo unaweza kufanya ili kuboresha uchumi wako. Hapa kuna baadhi ya mambo ambayo unaweza kujaribu:
1. Kupunguza matumizi ya kila siku: hakikisha unafanya matumizi ya busara na kufuatilia matumizi yako ya kila siku. Andika...
Balozi wa Utalii wa Tanzania, Nangasu Warema leo Februari 10,2023 ametoa maoni yake kuhusu mwelekeo wa uchumi kutokana na mjadala ulioibuka bungeni mwanzoni mwa wiki hii.
Balozi wa Utalii Nangasu Warema
Balozi huyo wa utalii amesema kwamba mataifa mengi duniani yameathirika kiuchumi ikiwamo...
UCHUMI IMARA HUJENGWA NA WANANCHI WENYE AFYA IMARA.
Na Konakuze Bodi 0759754034
mswaada wa bima ya Afya kwa wote ni sera ambayo inalenga kuijenga, kuisuka, kuimarisha sekta ya Afya na kuwakomboa watanzania kuiuchumi kutokana na uondoaji wa
msululu na Utitili wa gharama kubwa kwa...
Uchumi ni mali iliyopatikana kutokana na mali za nchi au watu. Vitu viwili vikubwa vinavyoweza kumsaidia mtu kufikia malengo yake kiuchumi na kimaisha ni Nidhamu binafsi na Nidhamu ya maisha; lakini huwezi kutengeneza nidhamu ya maisha bila ya kuwa na nidhamu binafsi.
Nidhamu binafsi ni uwezo...
UTANGULIZI
Kilimo ni dhana pana inayojumuisha uzalishaji wa mazao, ufugaji na uvuvi. Katika andiko hili nitaangazia kilimo kwa upande wa uzalishaji mazao.
Sekta ya kilimo ni sekta mama ya uchumi wa Tanzania. Huchochea maendeleo ya sekta zingine kama usafiri, viwanda na masoko. Mfumuko wa bei...
jamii forums
kampuni za kilimo
kilimo
maendeleo endelevu
mfumuko wa bei
miundombinu
sayansi na teknolojia
serikali mtandao
serikali na wananchi
uchumiimara
Saikolojia inasema ukifanya kitu kila siku kwa siku 21 kitu hicho hugeuka na kuwa tabia, hivi Ulishawahi kujiuliza kwanin nafanya kitu au biashara kama anavyofanya mwingine lakini sifanikiwi, au mbona mimi lakini sio fulani kiufupi binadamu tumeumbwa kujifananisha na kujilinganisha na wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.