uchumi imara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Augustine Aloyce

    Jipange upya mwaka 2025

    Good Morning 🌞 for Everyone. 2025 Jipange upya njia uliyoitumia kuyaendea mafanikio na plan zako mwaka 2024 usikubali kurejea nayo kwani adui wamekutegea mikwamo mingi sana pengine mwaka 2025 usifike hata robo ya safari yako ya mafanikio, Ninachotamani uelewe ni hiki hapa!! Umekuwa ukifanya...
  2. Chagu wa Malunde

    Pongezi kwa Rais Samia. Tanzania ya 10 bora kwa uchumi imara

    Chadema msipinge
  3. Kazanazo

    Natamani kuifanya familia yangu kuwa kama ya Bakhresa na ya akina Mo Dewji, nipeni muongozo

    Wakuu kwenye familia yetu tuna asset muhimu kama ardhi, mashamba na nyumba kadhaa ila usimamizi ndio hakuna. Kama mtoto niliesomeshwa na kuhitimu elimu ya juu natamani siku moja familia yangu iwe familia kubwa na yenye miradi endelevu kwa manufaa ya familia na jamii kwa ujumla. Wakuu, kwa...
  4. B

    Mtafutaji hachoki usife moyo

    Maisha ni foleni na siku zinasogea pole pole Muamini MUNGU ipo siku utafanikiwa Ata kama sio Leo "NDUGU" yangu Ila amini ipo siku utafanikiwa Mungu wetu halali wala hasinzii "anasikia maombi yetu" VUMILIA shida "Ila NB usivumilie dharau unaemmudu deal nae perpendicular" 🤣ukiendekeza unyonge...
  5. G

    Wafanyabiashara wa kati na wadogo ni kundi linaloongoza kwa stress hapa nchini

    wengi wao huishi ifuatavyo: Ofisini jumatatu hadi jumamosi kuondoka majumbani alfajiri kurudi usiku, kukosa muda wa kuspend na familia likizo pekee ni Christmas, Pasaka au Idi wakiumwa biashara zinayumba, hospitalini hawana bima wanakamuliwa pesa nyingi Marejesho ya mikopo kwa benki Faini za...
  6. econonist

    Pre GE2025 Kampeni za 2025 zijikite kwenye usalama na uchumi

    Wote wenye Nia ya kugombea nafasi za uongozi hasa uchaguzi wa nafasi ya Urais mwaka 2025 wajikite kwenye masuala ya Usalama na uchumi. Kwanza, wajikite kwenye kuimarisha Usalama wa nchi. Hali sio nzuri kwa Sasa kutekwa na kupotezwa imekuwa Jambo la kawaida kwa Sasa. Inatakiwa Rais ajaye aweke...
  7. E-Maestro

    Je, Unajua Pesa Yako Inaenda Wapi? Tuangalie Matumizi ya Watanzania kwa Bidhaa za Ndani na Nje

    Habari Wana JamiiForums, Natumaini mko salama na mnaendelea vizuri na shughuli za kila siku. Leo ningependa tujadili jambo muhimu sana linalotuhusu sisi sote kama Watanzania. Tujaribu kuangalia jinsi tunavyotumia pesa zetu baada ya kupata ujira wetu na ni kwa kiasi gani tunachangia uchumi wa...
  8. B

    SoC04 Udhibiti na kuimarisha utawala bora, mifumo ya kiserikali kulinda rasilimali na maslahi ya taifa

    Imewahi kunukuliwa kwa viongozi waliopita wa Taifa letu na kitu ambacho ni ukweli ya kwamba nchi yetu ni tajiri, Na utajiri wetu unajidhihirisha katika rasilimali zetu za asili kwa maana ya madini, mbuga za wanyama (utalii), maziwa, mito na bahari, ardhi na watu. Kwa maana nyingine tuna kila...
  9. M

    SoC04 Tanzania ya Biashara

    Tanzania tumekuwa tukipata wakati mgumu namna ya kuimarisha uchumi wa taifa ambo ndio dira ya Taifa kwa jamii nzima Katika kukua kwa uchumi na kuachana na umasikini; Naitwa Raphael Edson mkazi wa mafinga iringa Tanzania tumekuwa tukifanya maendeleo ya macho na si mwendo kwa muda mrefu kwasababu...
  10. C

    SoC04 Maendeleo na uchumi imara na jumuishi kwa walemavu miaka 10 ijayo

    Picha kutoka shirikisho la vyama vya watu wenye ulemavu Tanzania. Mungu hajakosea kumfanya kila mmoja wetu jinsi alivyo,japo kati yetu kuna walemavu ambao huwa na matatizo au upungufu wa kimwili ,kiakili au kihisia ambao huwafanya kushindwa kufanya baadhi ya shughuli kwa njia ya kawaida...
  11. T

    Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

    Gazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali. Matokeo ya kura yakaonesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%. Baada ya matokeo hayo...
  12. R

    Benki za Uingereza zatangaza kupunguza wafanyakazi wiki kadhaa kabla ya Krismasi

    Benki ya Metro inayopitia changamoto kwa sasa ilisema Alhamisi tarehe 30/11/2023 kuwa inatarajia kupunguza idadi ya wafanyakazi kwa 20% kama juhudi sehemu ya juhudi za kokoa Pauni milioni 50 (Tsh. Bilioni 1.2~) kwa mwaka. Tangazo hilo ambalo linaathiri takriban ajira 800, siku hiyo hiyo pia...
  13. Kidagaa kimemwozea

    Nchi zenye uchumi imara Africa 2023

    Top 10 largest economies on the continent 2023 1)- Nigeria 🇳🇬 - $477 Billion 2)- Egypt 🇪🇬 - $477 Billion 3)- South Africa 🇿🇦- $406 Billion 4)- Algeria 🇩🇿 - $192 Billion 5)- Morocco 🇲🇦 - $134 Billion 6)- Ethiopia 🇪🇹 - $127 Billion 7)- Kenya 🇰🇪 - $113 Billion 8)- Angola 🇦🇴 - $107...
  14. R

    Naiona Tanzania Mpya yenye Maendeleo na Uchumi imara siku wanasiasa hawa watatu wakistaafu/wakiacha kujishughulisha na maamuzi ya kisiasa nchini

    1. Rais mstaafu, Jakaya Kikwete 2. Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe 3. Mzee Yusuph Makamba Sina mengi sana, kazi iendelee let we trust our beloved Rais Samia atawashauri wafanye maamuzi hayo.
  15. Ngasere45

    Fanya haya ili kuwa na uchumi imara

    Unataka kuwa na uchumi imara...? [emoji123][emoji116] Kuna mambo mengi ambayo unaweza kufanya ili kuboresha uchumi wako. Hapa kuna baadhi ya mambo ambayo unaweza kujaribu: 1. Kupunguza matumizi ya kila siku: hakikisha unafanya matumizi ya busara na kufuatilia matumizi yako ya kila siku. Andika...
  16. Pfizer

    Balozi Nangasu, afafanua kwa Mapana kuhusu Mfumko wa bei Tanzania na Uchumi Imara

    Balozi wa Utalii wa Tanzania, Nangasu Warema leo Februari 10,2023 ametoa maoni yake kuhusu mwelekeo wa uchumi kutokana na mjadala ulioibuka bungeni mwanzoni mwa wiki hii. Balozi wa Utalii Nangasu Warema Balozi huyo wa utalii amesema kwamba mataifa mengi duniani yameathirika kiuchumi ikiwamo...
  17. Hamduni

    Uchumi imara hujengwa na wananchi wenye afya imara

    UCHUMI IMARA HUJENGWA NA WANANCHI WENYE AFYA IMARA. Na Konakuze Bodi 0759754034 mswaada wa bima ya Afya kwa wote ni sera ambayo inalenga kuijenga, kuisuka, kuimarisha sekta ya Afya na kuwakomboa watanzania kuiuchumi kutokana na uondoaji wa msululu na Utitili wa gharama kubwa kwa...
  18. M

    SoC02 Jenga uchumi imara kwa maisha bora

    Uchumi ni mali iliyopatikana kutokana na mali za nchi au watu. Vitu viwili vikubwa vinavyoweza kumsaidia mtu kufikia malengo yake kiuchumi na kimaisha ni Nidhamu binafsi na Nidhamu ya maisha; lakini huwezi kutengeneza nidhamu ya maisha bila ya kuwa na nidhamu binafsi. Nidhamu binafsi ni uwezo...
  19. Daniel Levert

    SoC02 Uwajibikaji wa sekta ya kilimo katika mfumuko wa bei na uchumi

    UTANGULIZI Kilimo ni dhana pana inayojumuisha uzalishaji wa mazao, ufugaji na uvuvi. Katika andiko hili nitaangazia kilimo kwa upande wa uzalishaji mazao. Sekta ya kilimo ni sekta mama ya uchumi wa Tanzania. Huchochea maendeleo ya sekta zingine kama usafiri, viwanda na masoko. Mfumuko wa bei...
  20. Alley67

    SoC02 Tabia zetu hutufanya tuwe tulivyo kiuchumi

    Saikolojia inasema ukifanya kitu kila siku kwa siku 21 kitu hicho hugeuka na kuwa tabia, hivi Ulishawahi kujiuliza kwanin nafanya kitu au biashara kama anavyofanya mwingine lakini sifanikiwi, au mbona mimi lakini sio fulani kiufupi binadamu tumeumbwa kujifananisha na kujilinganisha na wengine...
Back
Top Bottom