Tanzania imechukua hatua kubwa katika kuboresha miundombinu yake kwa kukamilisha ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR).
Huu ni wakati muafaka wa kuimarisha mifumo ya usafirishaji na kuhifadhi mizigo kwa kujenga Bandari Kavu (Dry Ports) katika mikoa ya Morogoro na Dodoma.
Faida za Bandari Kavu...
Imewahi kunukuliwa kwa viongozi waliopita wa Taifa letu na kitu ambacho ni ukweli ya kwamba nchi yetu ni tajiri, Na utajiri wetu unajidhihirisha katika rasilimali zetu za asili kwa maana ya madini, mbuga za wanyama (utalii), maziwa, mito na bahari, ardhi na watu. Kwa maana nyingine tuna kila...
haki jinai
haki za walemavu
maslahi ya taifa
rasilimali za taifa
rushwa kwa wanahabari
tume huru ya taifa ya uchaguzi
tume huru ya uchaguzi
uchumi imara
uchumijumuishi
utawala bora
Tanzania tuitakayo ni ipi?, kwa maoni yangu Tanzania tuitakayo ni Tanzania yenye uchumi jumuishi. Yaani aina ya Tanzania yenye uchumi utakaomjumuisha kila mtu bila kujali umri, jinsia, rangi/ukabila, elimu, jiografia, historia, ulemavu, au sifa zingine. Ni aina ya Tanzania ambayo uchumi wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.