uchumi mkubwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BLACK MOVEMENT

    Nini kinaikumba Japan? Mwakani India inaipiku na kuwa Taifa la tatu lenye uchumi mkubwa Ulimwenguni

    Japani ilipitwa na China 2010 na kutoleqa nafasi ya pili, kumbuka Japani imekaa nafasi ya pili kwa miaka 40. Sasa mwakani tena inatolewa nafasi ya 3 hivyo kuangukia nafasi ya 4 ambayo nayo huenda ikaja kuotelewa tena. Ninacho kiona Japani ni kufuata mkumbo wa USA, mfano India kwa sasa anapata...
  2. Riskytaker

    South Africa inawezaje kuwa na uchumi mkubwa kiasi hiki wakati vijana karibu wote ni jobless

    Nimewahi kufika South Africa uchumi wa south Africa ni mkubwa mno manake ni nchi iliyondelea sana ila ni nchi yenye jobless wengi mno Roughly ukikutana na vijana 100 bas 36 ni pure jobless .
  3. K

    Kwanini kitengo cha Clearing and Forwarding kule TASAC kimefutwa na wale watumishi kuhamishiwa taasisi nyingine?

    Najiuliza na kujiuliza tena na tena. TASAC palikuwa na kitengo cha Clearing and Forwarding ambapo hawa kazi yao ilikuwa ni kusimama kama serikali kufanya clearance ya kila kitu kutoka hapa nchini kabla ya kufanyiwa shipping mfano madini, mazao kama ngano, wanyama na vitu vingine sensitive...
  4. I

    Nchi 10 zenye uchumi mkubwa zaidi duniani kwa mwaka 2024

    Pato la Taifa hutumika kama kipimo muhimu cha kutathmini ukubwa wa uchumi wa taifa. Mbinu ya kawaida ya kupima Pato la Taifa la nchi inahusisha mbinu ya matumizi, ambapo jumla yake hutolewa kwa kujumlisha matumizi ya bidhaa mpya za walaji, uwekezaji mpya, gharama za serikali, na thamani halisi...
  5. greater than

    Angalia orodha ya nchi 10 zenye uchumi mkubwa Afrika. Tunahitaji kujitafakari kama taifa

    Katika makadirio ya mataifa yenye uchumi mkubwa barani Afrika kwa mwaka 2024,Taifa letu linashika nafasi ya 10. Nimeweka orodha ya hizo nchi 10 na chanzo kikubwa cha uchumi wa nchi husika. Pia mwishoni nimeweka na idadi ya watu wa nchi husika AFRIKA KUSINI Dolla B...
Back
Top Bottom