uchumi wa taifa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. 1Afica54

    Rasilimali za Tanzania na mchango wake katika katika uchumi wa taifa

    Tanzania, nchi yenye mandhari ya kuvutia na utajiri mkubwa wa rasilimali za asili, inajivunia kuwa na mchango mkubwa katika uchumi wake kutokana na sekta mbalimbali kama madini, gesi asilia, kilimo, utalii, uvuvi, misitu, nishati, na mafuta. Rasilimali hizi zimeweza kusaidia katika kukuza uchumi...
  2. OMOYOGWANE

    Wazo ftatu: Serikali iandae sera ya kuhamasisha ndoa (iwalipie mahari waoaji kwa asilimia kadhaa) ili kukuza uchumi wa Taifa

    Wakuu mpo? Kwa wale mlio na familia namaanisha mke na watoto nadhani mtanielewa kwa haraka, Mtu aliyeoa mwenye majukumu, mwenye afya njema ni nadra sana kumkuta kalala ndani bila kujishughulisha na kazi yeyote, wengi huamka asubuhi huenda kazini na kurudi home mida mibovu, sababu kubwa ni...
  3. Roving Journalist

    DC Farida Mgomi: Vitendo vya ukatili wa Kijinsia vinarudisha nyuma Ustawi wa Jamii na Uchumi wa Taifa

    Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Farida Mgomi amewaasa wananchi wa Wilaya ya Ileje kuungana na kushirikiana kwa pamoja kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia, kwa kukemea na kushirikiana na Vyombo vya Dola kutoa taarifa ya vitendo vya ukatili wa kijinsia ili kuhakikisha jamii inabaki salama dhidi ya...
  4. DaudiAiko

    Kujitegemea kwenye uzalishaji ni jambo muhimu katika ukuaji wa uchumi wowote

    Wanabodi, Kupokea na kuuza nje bidhaa mbalimbali ni jambo la muhimu na la kawaida katika nchi yoyote. Kulingana na uhitaji wa bidhaa mbali mbali au mahusiano kati ya nchi moja na zingine, bidhaa huingizwa kukidhi mahitaji haya au huuzwa nje ya nchi kuiingizia serikali na makampuni husika...
  5. DaudiAiko

    Mipango ya serikali bora inatakiwa kutatua kiini cha matatizo yake. Miradi ya kimkakati ni changa la macho

    Wanabodi, Katika kipindi hiki, mwaka mmoja kabla ya uchaguzi mkuu, uchaguzi utakaotupa fursa kama wananchi kutafakari masuala mbalimbali yanayotuhusu kisiasa na kimaendeleo, hatuna budi kupasua kichwa tukiwaza jinsi ambavyo kama nchi tunaweza kujikwamua kutoka kwenye hali tuliyonayo sasa hivi...
  6. L

    Mfumuko wa bei washuka huku uchumi ukiendelea kuimarika kwa kasi ya ndege vita

    Ndugu zangu Watanzania, Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe, anaendelea kuonyesha miujiza iliyokuwa kama haiwezekani kufanyika , anaendelea kukosha mioyo ya watanzania, anaendelea kugusa kila eneo. Anaendelea kukuza uchumi wetu kwa kasi ya ndege vita, anaendelea kuonyesha kuwa hajafika hapo...
  7. M

    Lini kipande cha SGR Dodoma Mwanza kitakamilika? Umuhimu wa usafiri wa treni kwa uchumi wa taifa la Tanganyika umeonekana

    Leo hii tumetambua umuhimu wa treni kwa uchumi wa taifa letu. Mabasi ni kero kubwa sana. Na yanachelewesha sana. Sasa lini? Dodoma Mwanza kitakamilika? Soma Pia: Samia Great Railway (SGR): Kichocheo Kipya cha Maendeleo Tanzania
  8. G

    Vitu vinatukwamisha Taifa kusonga mbele, bali yakipungua mambo haya Tanzania ingekuwa tupo mbali mno

    1. YANGA NA SIMBA - Ni burudani iliyogeuka kuwa sumu, inapewa umakini mkubwa sana kuzidi mambo ya kitaifa, ndio maana ligi ikisimama huwa ni ngumu kuzima skendo nzito, Watu wanajua kikosi kizima lakini hawajui chochote kuhusu vifurishi vya bima. 2. Kutumia kiswahili shuleni - Kama taifa...
  9. Nyendo

    Kipande cha keki ya taifa kinakufikia au wote tuvizie fomu?

    Tunaimbiwa wimbo wa nchi yetu kuwa na maendeleo ya kila uchwao huku tukisikia taarifa kuwa uchumi unapanda, wengine tukisikia tunajua huenda keki ya Taifa itafika na kwetu angalau tuache kupiga miayo tukiiwaza siku itaishaje baada ya asubuhi na mchana kupita pakavu yaani bila bila. Cha ajabu...
  10. Mi mi

    Ningekuwa nafasi ya kuongoza Taifa ningewaomba Wachina ushauri wa Uchumi, Elimu, na Teknolojia

    Kama mimi ningekuwa katika nafasi hiyo ya kuongoza taifa. Kitu pekee namba moja ningewaomba wachina katika ziara yangu mimi na jopo langu basi si kingine zaidi ya washauri wa masuala ya uchumi, elimu na teknolojia. Ningepambana mimi na jopo langu jinsi tuwezavyo serikali ya China itupatie...
Back
Top Bottom