Tanzania Haijachelewa Kuufikia Uchumi wa Viwanda
Tanzania ya Viwanda ni sera iliyopewa kipaombele sana na Raisi wa awamu ya tano hayati John Pombe Magufuli akiamini kupitia uwekezaji na maendeleo ya viwanda ndio njia pekee itakayoiwezesha Tanzania kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi yatakayo...
Uchumi wa viwanda unakuja baada ya kupitia hatua kadhaa wa kadha,uchumi wa viwanda unajengwa kuanzia kwenye mitaala na sera,sera ya elimu zinazohakisi uhalisia wa teknologia ya viwanda.
Itakuwa ngumu kufanikiwa kwa kiwango kikubwa kama hatuwezi kupitia hatua muhimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.