udhalilishaji kwa watoto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    Zanzibar: Kampeni ya kupinga ukatili na udhalilishaji kwa Watoto, Wazee na Wanawake kuanza Desemba 14, 2024

    Kampeni ya Taifa ya Mtoto Ni Mboni Yangu imesogezwa mbele na kutarajiwa kuanza Desemba 14, 2024 Zanzibar chini ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, ikisimamiwa na Waziri Riziki Pembe Juma kwa kushirikiana na Taasisi ya Ndoto Ajira. Lengo la Kampeni hii ni kuwalinda watoto...
  2. Ojuolegbha

    Matembezi ya Kupinga Vitendo vya Udhalilishaji kwa Watoto

    Mwenyekiti wa Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi ataongoza Matembezi ya Kupinga Vitendo vya Udhalilishaji kwa Watoto. 12:00 Asubuhi. 19 Februari, 2023. [emoji625]Uwanja wa Hamburu Nungwi Wilaya ya Kaskazini A, Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Back
Top Bottom