udhamini wa masomo

  1. C

    Taasisi zipi naweza kupata udhamini wa masomo ya chuo kada za afya

    samahanini wakuu nilikua naomba kujua kama naweza pata udhamini wa masomo hasa kada za afya kwa anaejua anisaidie wakuu
  2. sudybrainy

    Naomba udhamini wa masomo ya udaktari

    Naitwa Hussein Masoud,ni clinical assistant (CA),nipo Mwanza mjini katika chuo cha afya na sayansi shirikishi BWIMA kilichokua kikitambulika kama victoria zamani, kwa sasa nimebakisha mwezi mmoja nifanye mitihani yangu ya kuhitimu diploma in clinical medicine level 6 itakayo fanyika February...
  3. H

    Ufadhili wa masomo

    A.alykum. kwa heshima na taadhima naomba niwasilishe ombi langu kwenu. Mimi ni kijana niliemaliza mtihani was form 4 mwaka 2016 na kupata ufaulu was div 2 ya 18. baada ya hapo nilitokewa na matatizo ya kiafya ambayo yalinifanya nishindwe kuendelea na masomo ya advance kwa kipindi Cha miaka...
  4. J

    Business ideas pmz

    Nina tsh 70000 nifanye biashara gani..???
  5. AjiraLeo

    NAFASI MPYA ZA SCHOLARSHIPS KWA VIJANA WA AFRICA(TANZANIA) KUTOKA MASTERCARD FOUNDATION 2019

    🎓NAFASI ZA SCHOLARSHIPS KWA VIJANA WA AFRICA(TANZANIA) KUTOKA MASTERCARD FOUNDATION. 📌WANAHITAJIKA WENYE KUSOMEA FACULTIES HIZI HAPA CHINI:- ▪Faculty of Economic and Management Sciences ▪Faculty of Humanities ▪Faculty of Engineering ▪Faculty of Natural and Agricultural Sciences 💰KATIKA...
Back
Top Bottom