Utasikia kuwa Rais ajaye hawezi kutoka dini fulani kwa sababu Rais aliye madarakani tayari ni wa dini hiyo.
Rais hawezi kutoka kanda fulani kwa sababu hiyo kanda ilishatoa Rais.
Rais hawezi kuwa kabila fulani kwa sababu kuna sababu nyingi za kutokubaliana na mtazamo huo.
Masuala ya...