Waziri Ni mtu mzima!
Huyo Nasra Ni mtu mzima!
Badala tujadili namna ya kuwaondoa Hawa mafisadi walioonyeshwa na CAG, tunapambana na weak politics!
Hapa, naona mzee wa propaganda katuhamisha kutoka kwa CAG, na katuweka huku.
Je,Kuna Sheria inayomkataza waziri kuchepuka?
Okay, kimechunguzwa...