Jifunze Urban Gardening, tumia eneo dogo, rasilimali zinazopatikana kwenye mazingira unayoishi kujipatia mbogamboga, matunda na tiba zisizokuwa na kemikali za viwandani.
Tumia mbolea za asili Kama vile samadi na mboji. Unapolazimika kutumia mbolea basi tumia mbolea za maji aina ya Com-fert; ni...