uenyekiti wa mbowe chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Mbowe anaidai Chadema Fedha nyingi Sana, sasa kama wameshindwa kumlipa akiwa Madarakani wataweza akiondoka?

    Katika eneo hili la Madai ndipo namuunga mkono Mbowe awepo Mpaka akomboe Fedha zote alizoikopesha Chadema Haiwezekani Chama kikuu Cha Upinzani kiishi kwa kutegemea fadhila za Mwenyekiti Ndio sababu hata Tundu Lisu hataki kugombea Uenyekiti kwa sababu ya huo mziki wa Deni la Mwenyekiti Mnyonge...
  2. G

    Mbowe ameijenga CHADEMA kwa jasho Damu tangu ujana, ni Mali yake hawezi kuichia kirahisi Bora isambaratike mikononi mwake

    Hili ndilo naloliano kwa Mbowe kuachilia kitu ambacho umekipigania kwa jasho na Damu tangu ujana ni ngumu Ni Bora aimiliki Kama kampuni yake BINAFSI ambayo mkurugenzi wake ni wa maisha Kwa miaka zaidi ya 20 Hakuona sababu ya kuandaa viongozi mwingine kwani bado gharama alizozitumia kwenye chama...
Back
Top Bottom