ufaulu kidato cha nne

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Rorscharch

    Taarifa ya ufaulu wa wanafunzi wa kidato cha nne katika shule za kanisa katoliki Tanzania

    Tumsifu Yesu Kristo. Taarifa hii inatolewa na Idara ya Elimu ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne wa mwaka 2024 kwa shule za Kanisa Katoliki. Lengo la kutolewa kwa taarifa hii ni kutoa tathmini ya ufaulu wa shule hizo ili kubaini maendeleo ya...
  2. DaudiAiko

    Je, takwimu za ufaulu wa mitihani ya kidato cha nne zinaelezea kuhusu uwezo wa wanafunzi kwenye masomo yao?

    Wanabodi, Tupo katika kile kipindi cha mwaka ambacho kama kawaida, tuna rubuniwa kwa maneno matamu. Maneno matamu yanayoweza kutoa nyoka zaidi ya kumi pangoni. Ni kweli, hakuna marefu yasiyo na ncha na ukiona vya elea basi ujue vimeundwa. Fahamu kwamba takwimu zozote zile zinaweza kutafsiriwa...
  3. D

    Zamani haikuwa rahisi kupata division three; Kwanini sahivi imekuwa rahisi sana?

    Kusema ukweli kuna kitu hakipo sawa kwa sasa! Miaka 20 iliyopita division 3 kuipata ilikuwa kipengele sana, Hata waliopata walikuwa nauwezo flani hivi kiakili! Sasa hivi siyo ajabu mtu ambae hata hajui what is biology anapata. Division 3, Mtoto ambae hata simultaneously equation hajui lakini...
  4. BVR 2015

    Comb ya PCM, Je hivi ataweza kuwa na machaguo mengine chuo?

    Mambo vipi Mwanangu amepata 1:13 sasa Pysics B, Chem B, Biology B, Computer A, Math A Comb PCM imekubalk na PMC HIVI NIKIMPELEKA PCM form Six Je hivi ataweza kweli kuwa na machaguo mengine chuo
  5. STAPHORD MJ

    Msaada: Kakataliwa kuomba chuo kisa ufaulu wa kidato cha nne

    Ndugu yangu amefanya mtihani wa kidato cha sita mwaka huu kama Private Candidate na kufaulu kwa DIV 3 ya point 13, lakini cheti chake cha O-leve ana ufaulu wa masomo matatu tu yaani ana C za masomo matatu t. Amejaribu kuomba chuo kimoja wamemwambia kuwa hana sifa kutokana na huo ufaulu wa...
  6. Tariq gabana

    Kwa matokea haya, mwanangu akasome kozi gani atakayopata ajira?

    Jamani Kuna mwanangu ana 4 ya 27, akasome kozi gani ambayo mbele zipo Ajira na kitu ambacho kazi rahisi kupata ata kujiajiri? Matokeo yake yako hivi: Math: F History: D Civics: D Kiswahili: C English: C Bio: D Geography Eti, akasomee nini apate ajira?
  7. L

    NECTA yatangaza Matokeo Kidato cha Nne 2022

    Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) leo January 29,2023 limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2022 ambapo Watahiniwa wa Shule 456,975 kati ya Watahiniwa 520,558 wenye matokeo ambao ni sawa na 87.79% wamefaulu kwa kupata madaraja kuanzia daraja la kwanza, daraja la pili, daraja...
  8. Evans Richard Arsenal

    NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne na cha pili 2020

    NECTA wameandika matokeo ya Kidato cha nne na Upimaji wa kidato cha cha Pili na Darasa la Nne 2021, yatatangazwa hivi punde kaa tayari ndio mida hii. All the best Comrades, see you at the top. Soma Pia Matokeo mengine kuanzia 2008 Matokeo ya form four 2008 Pata uchambuzi wa mtokeo ya Form...
  9. matokeotz

    Pata uchambuzi wa mtokeo ya Form Four ya 2019

    We have added 2019 results with analysis. Angalia ujue wanafunzi wangapi walipa A kwenye kiswahili mwaka 2019, au shule mbili zilifanyaje ukiliganisha Soma Pia Matokeo mengine kuanzia 2008 Matokeo ya form four 2008 Matokeo ya Kidato cha Nne CSEE na QT 2018 yatangazwa! Shule ya Wasichana St...
  10. Bampalo

    Matokeo ya Kidato cha Sita kwa Mwaka 2019 yametangazwa rasmi leo

    Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) nchini Tanzania leo Alhamisi Julai 11, 2019 limetangaza matokeo ya kidato cha sita ya mwaka 2019 Katika matokeo hayo yaliyotangazwa na Katibu Mtendaji wa Necta mjini Unguja Zanzibar, Dk Charles Msonde amesema ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 97.58 mwaka...
  11. Roving Journalist

    Matokeo ya Kidato cha Nne CSEE na QT 2018 yatangazwa! Shule ya Wasichana St. Francis ya Mbeya yaongoza

    Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) kesho Alhamisi Januari 24, 2019 litatangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2018. UPDATE: Shule ya St. Francis ya Mbeya yaongoza kitaifa >>> Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limefuta matokeo ya wanafunzi 57 wa kidato cha nne katika shule ya...
  12. majiko8

    NECTA yatangaza Matokeo ya Kidato cha Nne kwa mwaka 2017. Ufaulu waongezeka kwa 7.22%

    Matokeo ya Kidato cha Nne (CSEE) na maarifa (QT) 2O17 Yametangazwa na Baraza la Mtihani la Taifa NECTA. Soma Pia Matokeo ya miaka mingine kuanzia 2008 Matokeo ya form four 2008 Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza! KUONA MATOKEO LINK 1: BOFYA HAPA LINK 2: BOFYA HAPA...
  13. chakii

    Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

    MATOKEO KIDATO CHA 4 Baraza la Mitihani nchini(NECTA) latangaza matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2016. Wavulana wafaulu kwa 73.26% na Wasichana 67%. - Feza, St. Francis na Kaizerege zaendelea kutamba kileleni, Dar yaburuza mkia. Wanafunzi 277,283 (asilimia 70.09) waliofanya mtihani 2016...
  14. JamiiForums

    Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha Nne 2015

    Baraza la mitihani nchini(NECTA) leo Februari 18, 2016 limetoa matokeo ya mtihani wa kidato cha nne iliyofanyika mwishoni mwa mwaka 2015. Ufaulu umeshuka kwa 1.85% toka 69.75% mwaka 2014 hadi 67.91% mwaka 2015. Soma Pia Matokeo ya miaka mingine kuanzia 2008 Matokeo Kidato cha Nne 2014...
  15. MashaJF

    Matokeo Kidato cha Nne 2014 yametoka: Sekondari ya Kaizirege yaongoza

    Kupata Matokeo Haya, Bofya hapa Jiridhishe kwa kutembelea NECTA Siku hizi hakuna Divisions, na tafsiri ya GPA ni hii hapa kwenye jedwali, Distinction ndio kama Division I ukipenda. http://www.necta.go.tz/files/utaratibu_wa_kutunuku.pdf Soma Pia Matokeo ya miaka mingine kuanzia 2008...
  16. Kimboka

    Matokeo Kidato cha Nne 2013 yatangazwa

    Muda huu makao makuu ya necta matokeo yanatangazwa UFAULU WAPANDA KIDATO CHA IV 2013. Matokeo ya Kidato cha nne 2013 yatangazwa, kiwango cha ufaulu chapanda kwa asilimia 15.17 kutoka asilimia 43.08 mwaka 2012 hadi 58.25 mwaka 2013. Watahiniwa wafaulu zaidi katika somo la Kiswahili...
  17. Rogie

    Matokeo ya Kidato cha Nne 2012 NECTA (CSEE)

    Wakuu, NECTA wametangaza matokeo tayari. Kuyapata matokeo (kama yalivyotangazwa tarehe 18/02/2013), tembelea: MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2012 - (Hosted by JamiiForums) Soma Pia Matokeo ya miaka mingine kuanzia 2008 Matokeo ya form four 2008 Matokeo ya kidato cha nne 2011 QT Results 2012 -...
  18. Hassbaby

    Matokeo ya kidato cha nne 2011

    Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Kidato cha Nne kwa mwaka 2011. Matokeo ya kidato cha nne 2011 yametoka RESULT MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2011 ~ Hassbaby's (Mapacha) Check hapo. Soma Pia Matokeo ya miaka mingine kuanzia 2008 Matokeo ya form four 2008 Matokeo ya...
  19. Crashwise

    Matokeo ya kidato cha nne hewani - 2010

    Gonga hapa kupata matokeo ya Kidao cha Nne - 2010 au Hapa SHULE ZA SERIKALI ZAGARAGAZWA TENA, SEMINARI JUU na Betty Kangonga Soma Pia Matokeo ya mengine kuanzia mwaka 2008 Matokeo ya form four 2008 Matokeo ya kidato cha nne hewani - 2010 JUMLA ya watahiniwa...
  20. Tripo9

    Matokeo kidato cha nne 2009

    Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato Nne mwaka 2009. kusoma matokeo yote Link ipo hapa chini. TEMBELEA: LINK HII UKAONE MATOKEO YOTE http://www.moe.go.tz/NectaResults/olevel.htm Ufaulu wapungua. Soma Pia: Matokeo ya form four 2008 Mzimu wa somo la Hisabati...
Back
Top Bottom