Tumsifu Yesu Kristo. Taarifa hii inatolewa na Idara ya Elimu ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) kuhusu matokeo ya mtihani wa kidato cha nne wa mwaka 2024 kwa shule za Kanisa Katoliki.
Lengo la kutolewa kwa taarifa hii ni kutoa tathmini ya ufaulu wa shule hizo ili kubaini maendeleo ya...
Wanabodi,
Tupo katika kile kipindi cha mwaka ambacho kama kawaida, tuna rubuniwa kwa maneno matamu. Maneno matamu yanayoweza kutoa nyoka zaidi ya kumi pangoni. Ni kweli, hakuna marefu yasiyo na ncha na ukiona vya elea basi ujue vimeundwa.
Fahamu kwamba takwimu zozote zile zinaweza kutafsiriwa...
Kusema ukweli kuna kitu hakipo sawa kwa sasa!
Miaka 20 iliyopita division 3 kuipata ilikuwa kipengele sana,
Hata waliopata walikuwa nauwezo flani hivi kiakili!
Sasa hivi siyo ajabu mtu ambae hata hajui what is biology anapata. Division 3,
Mtoto ambae hata simultaneously equation hajui lakini...
Mambo vipi
Mwanangu amepata 1:13 sasa Pysics B, Chem B, Biology B,
Computer A, Math A
Comb PCM imekubalk na PMC
HIVI NIKIMPELEKA PCM form Six
Je hivi ataweza kweli kuwa na machaguo mengine chuo
Ndugu yangu amefanya mtihani wa kidato cha sita mwaka huu kama Private Candidate na kufaulu kwa DIV 3 ya point 13, lakini cheti chake cha O-leve ana ufaulu wa masomo matatu tu yaani ana C za masomo matatu t.
Amejaribu kuomba chuo kimoja wamemwambia kuwa hana sifa kutokana na huo ufaulu wa...
Jamani Kuna mwanangu ana 4 ya 27, akasome kozi gani ambayo mbele zipo Ajira na kitu ambacho kazi rahisi kupata ata kujiajiri?
Matokeo yake yako hivi:
Math: F
History: D
Civics: D
Kiswahili: C
English: C
Bio: D
Geography
Eti, akasomee nini apate ajira?
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) leo January 29,2023 limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2022 ambapo Watahiniwa wa Shule 456,975 kati ya Watahiniwa 520,558 wenye matokeo ambao ni sawa na 87.79% wamefaulu kwa kupata madaraja kuanzia daraja la kwanza, daraja la pili, daraja...
NECTA wameandika matokeo ya Kidato cha nne na Upimaji wa kidato cha cha Pili na Darasa la Nne 2021, yatatangazwa hivi punde kaa tayari ndio mida hii.
All the best Comrades, see you at the top.
Soma Pia Matokeo mengine kuanzia 2008
Matokeo ya form four 2008
Pata uchambuzi wa mtokeo ya Form...
We have added 2019 results with analysis. Angalia ujue wanafunzi wangapi walipa A kwenye kiswahili mwaka 2019, au shule mbili zilifanyaje ukiliganisha
Soma Pia Matokeo mengine kuanzia 2008
Matokeo ya form four 2008
Matokeo ya Kidato cha Nne CSEE na QT 2018 yatangazwa! Shule ya Wasichana St...
Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) nchini Tanzania leo Alhamisi Julai 11, 2019 limetangaza matokeo ya kidato cha sita ya mwaka 2019
Katika matokeo hayo yaliyotangazwa na Katibu Mtendaji wa Necta mjini Unguja Zanzibar, Dk Charles Msonde amesema ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 97.58 mwaka...
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) kesho Alhamisi Januari 24, 2019 litatangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2018.
UPDATE:
Shule ya St. Francis ya Mbeya yaongoza kitaifa
>>> Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limefuta matokeo ya wanafunzi 57 wa kidato cha nne katika shule ya...
Matokeo ya Kidato cha Nne (CSEE) na maarifa (QT) 2O17 Yametangazwa na Baraza la Mtihani la Taifa NECTA.
Soma Pia Matokeo ya miaka mingine kuanzia 2008
Matokeo ya form four 2008
Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!
KUONA MATOKEO
LINK 1: BOFYA HAPA
LINK 2: BOFYA HAPA...
MATOKEO KIDATO CHA 4
Baraza la Mitihani nchini(NECTA) latangaza matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2016. Wavulana wafaulu kwa 73.26% na Wasichana 67%.
- Feza, St. Francis na Kaizerege zaendelea kutamba kileleni, Dar yaburuza mkia.
Wanafunzi 277,283 (asilimia 70.09) waliofanya mtihani 2016...
Baraza la mitihani nchini(NECTA) leo Februari 18, 2016 limetoa matokeo ya mtihani wa kidato cha nne iliyofanyika mwishoni mwa mwaka 2015.
Ufaulu umeshuka kwa 1.85% toka 69.75% mwaka 2014 hadi 67.91% mwaka 2015.
Soma Pia Matokeo ya miaka mingine kuanzia 2008
Matokeo Kidato cha Nne 2014...
Kupata Matokeo Haya,
Bofya hapa
Jiridhishe kwa kutembelea NECTA
Siku hizi hakuna Divisions, na tafsiri ya GPA ni hii hapa kwenye jedwali, Distinction ndio kama Division I ukipenda.
http://www.necta.go.tz/files/utaratibu_wa_kutunuku.pdf
Soma Pia Matokeo ya miaka mingine kuanzia 2008...
Muda huu makao makuu ya necta matokeo yanatangazwa
UFAULU WAPANDA KIDATO CHA IV 2013.
Matokeo ya Kidato cha nne 2013 yatangazwa, kiwango cha ufaulu chapanda kwa asilimia 15.17 kutoka asilimia 43.08 mwaka 2012 hadi 58.25 mwaka 2013.
Watahiniwa wafaulu zaidi katika somo la Kiswahili...
Wakuu,
NECTA wametangaza matokeo tayari.
Kuyapata matokeo (kama yalivyotangazwa tarehe 18/02/2013), tembelea:
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2012 - (Hosted by JamiiForums)
Soma Pia Matokeo ya miaka mingine kuanzia 2008
Matokeo ya form four 2008
Matokeo ya kidato cha nne 2011
QT Results 2012 -...
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Kidato cha Nne kwa mwaka 2011.
Matokeo ya kidato cha nne 2011 yametoka RESULT
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2011 ~ Hassbaby's (Mapacha)
Check hapo.
Soma Pia Matokeo ya miaka mingine kuanzia 2008
Matokeo ya form four 2008
Matokeo ya...
Gonga hapa kupata matokeo ya Kidao cha Nne - 2010
au
Hapa
SHULE ZA SERIKALI ZAGARAGAZWA TENA, SEMINARI JUU
na Betty Kangonga
Soma Pia Matokeo ya mengine kuanzia mwaka 2008
Matokeo ya form four 2008
Matokeo ya kidato cha nne hewani - 2010
JUMLA ya watahiniwa...
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato Nne mwaka 2009.
kusoma matokeo yote Link ipo hapa chini.
TEMBELEA: LINK HII UKAONE MATOKEO YOTE
http://www.moe.go.tz/NectaResults/olevel.htm
Ufaulu wapungua.
Soma Pia: Matokeo ya form four 2008
Mzimu wa somo la Hisabati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.