ufaulu mzuri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Naomba ushauri ili niweze kupata ufaulu mzuri chuo GPA ya 4.5 - 5

    Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika kozi ya Bachelor of Health Services Management nina shauku ya kupata GPA ya 4.5 had 5. Naomba ushauri wenu wataalamu nin nikazie au nifanye! Ahsante naomba kuwasilisha!
  2. Ina maana gani kumsomesha mtoto kwa mamilioni ya fedha halafu anapangiwa Shule za kawaida?

    Ina tija gani? Halafu ili iwe nini? Na kwanini? Yaani nasomesha mtoto FEZA, GREEN ACRES, ST. MARYS SCHOOLS au MARIAN SCHOOLS halafu selection mnampeleka NKASI, CHUNYA, NAMTUMBO au SONGEA? Hivi hizi selection ziko fair kweli!? Kwanini selection ziendelee kuwa harassment kwa vijana na wazazi...
  3. Nashukuru jitihada za wazazi wangu nikaacha kuwa kilaza na kumaliza kwa ufaulu mzuri chuoni

    Tukija kwenye suala la shuleni, mimi niwe mkweli, Sikuwa na uwezo wa kufundishwa na mwalimu pekee darasani, pia kujisomea ilikuwa taabu, nimeanza kujisomea form 2. Nashukuru wazazi waliweza kunipigania nisome english medium lakini hii pia isingezaa matunda kama ningeachwa nisome kivyangu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…